"Nitakufunulia
uhalisi wa kuzimu,
ili wengi waokolewe,
wengi watatubu njia
zao mbaya
|
Roho yako itachukuliwa kutoka
kwenye mwili wako,
na mimi, Bwana
Yesu Kristo, na
|
kupelekwa
kuzimu na sehemu
nyingine nitakazopenda kukuonyesha. Vile
vile
|
nitakuonyesha maono ya mbinguni na mahali pengine na
kukupa mafunuo mengi.
|
Kwa kusudi hili
ulizaliwa, kuandika na
kueleza mambo niliyokuonyesha na
kukuambia.
|
Maana mambo haya ni uaminifu na kweli. Wito wako ni
kuufanya ulimwengu ujue kwamba
|
kuna
kuzimu, na kwamba
Mimi, Yesu, nilitumwa
na Baba ili
kuwaokoa kwenye mateso
|
Mwezi Machi 1976 nilipokuwa naomba nyumbani,
nilitembelewa na Bwana Yesu. Nilikuwa
|
nikiomba
katika Roho kwa
siku kadhaa ambapo
mara nilihisi uwepo
halisi wa Mungu.
|
Nguvu yake na utukufu wake uliijaza nyumba. Mwanga
mkali ulikijaza chumba nilimokuwa
|
naomba, na hali ya kujisikia vizuri ilinijia.
|
Mwanga
ulikuja kama mvuke,
ukiviringika na kujikunja
na kujikunjurua tena.
Lilikuwa
|
jambo la ajabu. Ndipo sauti ya Bwana ikaanza
kuzungumza nami.
|
Mimi ni Yesu
Kristo, Bwana wako,
nataka kukupa ufunuo
wa kuwaandaa
|
watakatifu
kwa ajili ya
kurudi kwangu na
kuwageuza wengi kuelekea
kwenye haki.
|
Nguvu za giza ni halisi na hukumu zangu ni halisi.
|
"Mwanangu,
nitakupeleka kuzimu kwa
Roho Yangu, na
nitakuonyesha mambo
|
mengi
ambayo nataka ulimwengu
uyajue. Nitaonekana kwako
mara nyingi;
|
nitaichukua roho yako nje ya mwili wako na
nitakupeleka kuzimu kihalisi.
|
"Nataka uandike kitabu na ueleze maono yote na
mambo yote nitakayofunulia. Mimi
|
na wewe tutatembea
kuzimu pamoja. Andika
mambo haya yaliyopo
na
|
yatakayokuja.
Maneno yangu ni
hakika, kweli, aminifu.
Mimi Ndimi, wala
hakuna mwengine badala yangu"
|
?” Kila kitu ndani yangu kilitaka kumlilia Yesu,
|
kukiri uwepo
wake. Nikijitahidi sana
kueleza niseme kwamba upendo ulinifunika. Ulikuwa
|
ni upendo mzuri,
wa amani, wa
furaha, wenye nguvu,
kuliko nilivyowahi kuhisi
wakati
|
Sifa za Mungu
zilianza kunimiminika. Pale
pale nilitamani kumpa
maisha yangu yote
|
ayatumie,
kusaidia kuwakoa watu
katika dhambi. Nilijua,
kwa Roho wake,
kwamba
|
alikuwa
Yesu Mwana wa
Mungu aliyekuwa chumbani
pamoja nami. Sipati
maneno ya
|
kuelezea uwepo wake. Lakini najua kwamba najua kwamba
alikuwa ni Bwana.
|
Ninakuchukua kwa roho wangu hadi kuzimu ili
|
uweze
kuelezea uhalisi wake,
kuiambia dunia nzima
kwamba kuzimu ni
halisi, na
|
kuwatoa waliopotea kutoka gizani kuingia kwenye nuru
ya injili ya Yesu Kristo
|
Mara ile ile, roho yangu ilitolewa ndani ya mwili.
Nilitoka na Yesu kutoka ndani ya
chumba
|
changu
tukaingia hewani. Nilikuwa
na ufahamu wa
mambo yote yaliyokuwa
|
yananizunguka. Nilimuona mume wangu na watoto wamelala
pale chini nyumbani.
|
Ilikuwa kama nimekufa
na mwili wangu
umeachwa nyuma kwenye
kitanda wakati roho
|
yangu inapanda juu na Yesu kupitia paa la nyumba.
Ilikuwa kama paa lote limeezuliwa, na
|
niliona familia yangu imelala vitandani.
|
Niliona
Yesu akinigusa na
kuniambia,
|
Usiogope.
Watakuwa salama
|
Nitajihidi kwa kadri ya uwezo wangu kueleza hatua kwa
hatua niliyoyaona na nilivyojisikia.
|
Mambo
mengine sikuelewa. Bwana
Yesu alinieleza maana
ya mambo mengi,
lakini
|
mambo mengine hakuniambia.
|
Nilifahamu
wakati ule, na
sasa nafahamu, kwamba
mambo haya yalikuwa
yanatokea
|
kihalisi na Mungu mwenyewe ndiye angeweza kunionyesha. Litukuzwe Jina
lake. Jamani,
|
niamini, kuzimu ni
halisi.Nilipelekwa kule na Roho
mara nyingi wakati wa kuandaa taarifa
|
Mara tulikuwa katika anga za juu. Niligeuka na
kumtazama Yesu. Alikuwa amejaa utukufu
|
na nguvu, na
amani ya ajabu ilifurika kutoka kwake. Alichukua mkono wangu na kusema,
|
Nakupenda. Usiogope, maana niko pamoja nawe
|
Baada ya hayo,
tulianza kupaa juu
zaidi mawinguni, na
sasa niliweza kuiona dunia
kwa
|
chini.
Katika sehemu nyingi
kulikuwa na mashimo
(faneli) yaliyokuwa yanajizungusha
|
kueleka mahali fulani,
na kurudi tena yalikotoka..
Haya yalikuwa yanatembea juu sana
ya
|
dunia na
yalikuwa kama kitu fulani
kikubwa, kichafu na kinachoteleza kinazunguka wakati
|
wote.
Vilikuwa vinajitokeza duniani
pote
|
tulipokuwa tunakikaribia kimojawapo.
|
Haya ni malango ya kuzimu,
|
Tutaingia kwenye mojawapo
|
Mara tuliingia mojawapo ya mashimo haya. Ndani
lilionekana kama tanuru, likizunguka na
|
Giza nene ilituangukia, na
pamoja na giza
hilo ilikuja harufu
mbaya sana kiasi
cha
|
kwamba ilikausha pumzi yangu. Kwenye kuta
|
za shimo hili kulikuwa na viumbe vimeganda
|
kwenye
kuta. Vilikuwa na
rangi ya zambarau,
viumbe hivi vilitembea
na kupiga kelele
|
tulipopita.
Nilijua bila kuambiwa kwamba vilikuwa viovu.
|
Viumbe hivi vingeweza kutembea lakini viliganda kwenye
kuta. Vilitoa harufu mbaya sana,
|
na vilitupigia kelele
zenye kukera kweli.
Nilihisi nguvu fulani
ya giza, isiyoonekana,
|
ikitembea ndani ya mapango.
|
Wakati fulani,
katika giza, niliweza kuona maumbile.
Chura mchafu alijaza kuta za pango.
|
?” Niliuliza huku nikishika mkono wa Yesu kwa nguvu.
|
Hizi ni roho
chafu ambazo ziko
tayari kumwagwa duniani
pindi Shetani
|
Tulipokuwa
tunashuka kwenye pango,
viumbe hivyo viovu
vilicheka na kutuita.
Vilijaribu
|
kutugusa, lakini havikuweza kwa sababu ya nguvu ya
Yesu. Hewa yenyewe ilikuwa chafu,
|
ni uwepo wa Yesu tu ulionizuia kupiga kelele kwa
utisho mkubwa uliokuwepo
|
.Oh, ndio, nilikuwa
na fahamu zangu
zote
niliweza
kusikia, kunusa, kuona,
kugusa na
|
|
hata
kuonja uovu wa
mahali hapa. Zaidi
ya hapo fahamu
zangu zilikuwa makini
zaidi,
|
harufu na uchafu vilinitia kichefuchefu.
|
Mayowe
yalijaza hewa tulipokaribia mwanzo
wa shimo. Vilio
vikali vilipanda juu
na
|
kutulaki. Sauti za kila namna ziliijaza hewa.
Nilisikia hofu, mauti na dhambi vikinizunguka.
|
Harufu
mbaya ambayo sijawahi
kunusa iliijaza hewa.
Ilikuwa harufu ya
mzoga unaooza,
|
na ilielekea kutoka kila upande. Kamwe hapa duniani
nilikuwa sijawahi kuhisi kiasi hiki cha
|
ouvu au kusikia
sauti za namna
hii za kukata
tamaa. Muda si
muda ningeligundua
|
kwamba mayowe haya yalikuwa ya wafu na kwamba kuzimu
kulijaa mayowe yao.
|
Nilisikia
mvumo wa upepo
mbaya na mvuto
mdogo mbele yetu.
Mwanga kama wa
radi
|
ulipenyeza kwenye giza nene na kutupa vivuli
vyeusi vyeusi kwenye kuta. Niliweza kuona
|
umbile la kitu
fulani mbele yangu.
Nililishtuka nilipotambua kwamba
joka kubwa lilikuwa
|
linatambaa
mbele yetu. Nilipoendelea kutazama
niliona nyoka wengi
wabaya
|
Muda si mrefu tutaingia kwenye mguu wa kushoto wa
kuzimu. Huko
|
mbele
utaona huzuni kubwa,
masikitiko ya kutisha
na vitisho visivyoelezeka. Kaa
|
karibu na
Mimi, nami nitakupa
nguvu na ulinzi
tunapopita kuzimu. Mambo ambayo
|
Kitabu
utakachokiandika
kitaziokoa roho
|
nyingi
zisiende kuzimu. Unayoyaona
ni halisi. Usiogope,
kwa maana nitakuwa
|
Hatimaye,
Bwana Yesu namimi
tulifika chini ya
shimo. Tuliingia kuzimu.
Nitajitahidi kwa
|
uwezo
wangu wote kukueleza
niliyoyaona, na nitasimulia
kwa ule mpangilio
ambao
|
Mbele yetu, kwa kadri nilivyoweza kuona, kulikuwa na
vitu vinaruka huku na kule. Sauti za
|
kukoroma
na vilio vya
huzuni viliijaza hewa.
Juu niliona mwanga
hafifu, na tulianza
|
kuufuata. Njia
ilikuwa kavu na yenye mavumbi.
Mara tulifika kwenye mlango
wa kuelekea
|
kwenye shimo dogo lenye giza.
|
Mambo
mengine siwezi kuyaandika kwenye karatasi; yalikuwa yanatisha mno kuyaeleza.
|
Kuzimu hofu
unaisikia hasa, na nilijua
kwamba kama nisingelikuwa na
Yesu nisingeweza
|
kurudi.
Katika kuandika haya,
baadhi ya mambo
niliyoyaona sikuyaelewa, lakini
Bwana
|
anajua yote, na alinisaidia kuelewa mambo mengi
niliyoyona.
|
Nakuonya, usiende mahali
kule. Ni mahali
penye mateso ya
ajabu, maumivu makubwa,
|
na huzuni ya
milele. Roho yako
itakuwa hai wakati
wote. Roho inaishi
milele.Roho ndio
|
wewe, na roho yako itakwenda mbinguni au kuzimu.
|
Kwa wale mnaodhani
kwamba kuzimu ipo
hapa duniani
|
sawa, ipo hapa.
Kuzimu ipo
|
katikati
ya dunia, na
kule kuna roho
ziko kwenye mateso
usiku na mchana.
Kuzimu
|
hakuna sherehe.
Hakuna upendo, hakuna kuhurumiana. Hakuna kupumzika. Ila ni mahali
|
penye masikitiko zaidi ya unavyoweza kudhani.
|
MUNGU NA AKUBARIKI TUKUTANE SEHEMU YA PILI.....
|
|
|
|