SHUHUDA





Ushuhuda wa Victoria Juu ya Kuzimu



Muda Unaisha Haraka!
Huu ni ufupisho wa ushuhuda wa Victoria Nehale
Nilizaliwa na kuishi Namibia maisha yangu yote; na niliyatoa maisha yangu kwa Yesu tarehe 06 Februari 2005. Bwana Yesu Kristo ameshanifunulia mambo mengi katika ulimwengu wa roho ikiwa ni pamoja na safari za kuzimu. Bwana alinipa maelekezo kwamba niwashirikishe watu uzoefu wangu; pia alinionya kuwa nisiongeze wala kupunguza chochote katika vile alivyonionyesha na kuniambia. Wakati nikiandika kitabu hiki, mwishoni mwa 2006, nilishatembelewa mara 33 na Bwana Yesu Kristo. Kila aliponitembelea, Bwana alikuwa akiniambia kabla ya kuondoka: MUDA UNAISHA HARAKA!

Safari ya kwanza kuzimu
Katika wikiendi ya tarehe 23 Julai 2005, nilipanda taksi kwa ajili ya safari ya dakika thelathini kutokea mji wa Ondangwa ambako ndiko ninakofanya kazi na kuishi, hadi kijijini kwetu, kwa lengo la kwenda kuwa na wazazi wangu wakati wa wikiendi ile. Wakati nikielekea nyumbani, nilipata hisia kwamba kuna jambo lisilo la kawaida ambalo lingetokea jioni ile. Nilifika nyumbani kwenye saa 12 jioni; na hapo watu walikuwa wanaandaa chakula cha jioni. Nilikuwa jikoni pamoja na familia yetu, huku nikiwa nimelala kwenye mkeka. Watoto wa hapo nyumbani walikuwa wakiimba nyimbo zao za Shule ya Jumapili. Ghafla nilijisikia upako mzito ukinishukia; mwili wangu ukawa dhaifu sana; na nikawa nimetoka kwenye mwili kutokana na nguvu za Mungu. Nilimwona mwanamume amevaa joho jeupe refu likiwa limefungwa kwa kamba ya rangi ileile; akiwa anatembea kuelekea pale nilikokuwa nimelala. Kulikuwa na nuru imemzunguka kana kwamba ilikuwa ikitokea kwake. Alikuwa amevaa viatu vya wazi vya kahawia. Mwonekano wake ulikuwa kama wa watu wa Mashariki ya Kati, huku akiwa na ngozi nzuri ya hudhurungi. Uso wake ulikuwa mpole sana na umejaa utukufu lakini sikuweza kumtazama machoni. Alipoongea, sauti yake ilikuwa ya upole, na upendo, lakini pia  yenye mamlaka; mawimbi ya upendo yalikuwa yakitoka kwake.
Alinyoosha mkono wake kwangu na kuninyanyua kutokea pale nilipolala. Ghafla nilijiona nikiwa nina mwili mzuri sana. Nilijiona niko kama nilivyokuwa ningali na miaka kumi na nane. Nilikuwa nimevaa joho jeupe na kamba nyeupe. Japokuwa joho langu lilikuwa jeupe, lilitengenezwa kwa matirio tofauti na ya joho la yule mwanamume.  Joho lake lilikuwa la hariri huku liking’aa kiasi kwamba hata nashindwa namna ya kuelezea.
Alisema, kwa sauti ya upendo na upole sana: Victoria, nataka uende nami; nitakuonyesha mambo ya kuogopesha na ninakupekela mahali ambako haujawahi kufika katika maisha yako.” Alinishika mkono wa kulia na tukaondoka. Nilijiona kama vile tunatembea hewani na muda wote tulikuwa tukielekea tu juu. Baada ya muda, nikawa nimechoka sana, na nikamwambia kuwa nisingeweza kuendelea na safari. Hivyo nikamsihi aniruhusu nirudi. Hata hivyo, alinitazama kwa upendo na kusema, “Haujachoka – uko sawa tu. Kama ukichoka, nitakubeba, lakini kwa hivi sasa uko tu sawa. Amani iwe kwako. Tuendelee.”
Tulifika mahali ambako ni pakavu sana; pakavu kuliko jangwa lolote analojua binadamu; hakukuwa na dalili zozote za uhai. Hakukuwa hata na mti mmoja au hata jani au kiumbe chochote hai. Lilikuwa ni eneo linalofadhaisha sana.
Hatimaye tulifika kwenye geti moja na yule mwanamume alinigeukia na kusema: “Victoria, tutaingia kupitia geti hili na mambo ambayo utayaona yatakuogopesha na kukufadhaisha – lakini uwe na uhakika kuwa kokote nitakakokupeleka, utakuwa na ulinzi mkamilifu. Wewe fungua tu macho yako na kutazama kila nitakachokuonyesha.” Nilijawa na hofu na kuanza kulia. Nilikuwa nalalamika na kumwomba anirudishe. Nilimwambia kuwa sikutaka kuingia kwenye sehemu ile maana tayari nilikuwa naona kupitia getini kile kilichokuwa kikiendelea ndani. Aliniangalia na kusema,  “Amani iwe nawe; niko pamoja nawe. Ni lazima tuingie ndani, maana muda unakimbia haraka.”
Tuliingia kupitia getini. Siwezi kukusimulia utisho wa mahali pale. Nina uhakika kabisa kuwa hakuna sehemu yoyote ulimwenguni ambayo ni mbaya kama ile! Sehemu ile ilikuwa ni kubwa sana na nilipata hisia kuwa inaendelea kupanuka muda wote. Ilikuwa ni sehemu ya giza totoro na joto lake halipimiki; ilikuwa ni joto kuliko moto ulio mkali kabisa. Sikuona miali yoyote ya moto au chanzo cha joto lile lakini kulikuwa ni JOTO! Kulikuwa na wadudu wa kila ukubwa; wa kijani, weusi, na wa kijivu - ila aina ya wadudu unaoweza kuwafikiria. Zaidi ya hapo, kulikuwapo pia kila mahali funza wafupi, wanene, weusi, ambao wanapanda juu ya kila kitu. Walianza kupanda juu yetu na wadudu nao walikuwa wametuzunguka kila upande. Mahali pale kulikuwa na harufu mbaya mno; hakuna maneno ya kutosha kuelezea harufu ile. Harufu ilikuwa kama nyama iliyooza lakini ilikuwa ni mbaya mara mia zaidi ya nyama iliyooza  niliyowahi kunusa maishani mwangu mwote! Kulikuwa na kelele za vilio na kusaga meno, pamoja na vicheko vibaya vya mapepo.
Kibaya kabisa kwenye sehemu hii ni kuwa pamejaa watu. Walikuwa ni wengi sana kiasi kwamba hawahesabiki. Walikuwa ni mifupa tu. Ninaweza kusema kwa ujasiri na uhakika kabisa kwamba mifupa hii ilikuwa ni wanadamu kwa vile niliweza kuwatambua baadhi ya ndugu zangu wa karibu na watu kutoka kijijini kwangu. Mifupa yao ilikuwa ya kijivu cheusi na mikavu sana. Walikuwa na meno marefu makali kama wanyama wa porini. Midomo yao ilikuwa mikubwa na mipana na ndimi zao zilikuwa ndefu na nyekundu sana. Mikono na miguu yao ilikuwa na vidole vyembamba virefu, na kucha kali, ndefu. Baadhi yao walikuwa na mikia na pembe.
Kulikuwa na mapepo yakichanganyika na watu: mapepo yalionekana kama mamba na yalitembelea miguu minne. Yalionekana yanajisikia vizuri tu kwenye mazingira yale na mara zote yalikuwa yakiwachokoza na kuwatesa wanadamu. Kelele kutoka kwa yale mapepo zilikuwa ni kama vile yako kwenye sherehe; maana yalionekana yana furaha. Yalikuwa pia yakicheza na kurukaruka muda wote. Wanadamu kwa upande wao, walionekana wana mateso na fadhaa; walikuwa katika hali ya kukosa msaada. Kelele za wanadamu zilisababishwa na maumivu. Walikuwa wakilia, wakipaza sauti na kusaga meno yao; na walikuwa katika hali ya mateso makali yasiyo na mfano.
Watu katika sehemu ile, walikuwa ni wengi mno, lakini niliweza kuona kuwa wengi wao walikuwa wanawake. Waligawanyika katika makundi mbalimbali. Japokuwa walikuwa katika makundi, ilikuwa haiwezekani kukadiria idadi yao katika kundi lolote maana makundi yenyewe yalikuwa ni makubwa kupita kiasi!
Mwanamume yule alinipeleka hadi kwenye kundi mojawapo upande wa mashariki wa sehemu ile. Kisha alinitazama na kusema: “Victoria, hili ni kundi la watu ambao walikataa kuwasamehe wengine. Niliwaambia mara nyingi na kwa njia nyingi kuwa wawasamehe wengine lakini walinikataa; Mimi nimewasamehe wao dhambi zao zote lakini wao walikataa kuwasamehe wengine. Muda wao uliisha na wakajikuta wako hapa. Watabakia hapa milele yote; wanakula matunda ya kazi yao milele na milele. Hata hivyo, inaniuma sana kuwaona kwenye sehemu hii mbaya na katika sehemu hii ya milele – maana ninawapenda.”
Nilipelekwa kwenye kundi linalofuata, na mwanamume yule aIiniambia kuwa watu wa kundi lile la pili walikuwa ni wale waliokuwa na madeni: walikuwa na uwezo wa kulipa madeni yao lakini waliendelea kuahirisha. Walikuwa wakisema kuwa tutalipa kesho, wiki ijayo, mwaka ujao, hadi muda ukawaishia. Hapa ndipo watakaa milele; wanakula matunda ya kazi yao.  
Aina ya pili ilikuwa ni ya wale ambao walikuwa na madeni na walikuwa na uwezo wa kuyalipa; na walikuwa tayari kuyalipa, lakini walikuwa wakiogopa matokeo maana, labda, kama wangesema kweli, wangeishia kukataliwa, au wangefungwa, au labda kile ambacho walitenda kingejulikana duniani kote nao wangeaibika. Yule mwanamume akasema:  “Hakuna kati yao ambaye alinijia kuniomba njia ya kufanya. Kama wangeniomba, ningewaonyesha njia rahisi kabisa ya kutoka kwenye hali zilizowakabili. Muda wao uliisha na wakajikuta wako hapa ambako ndiko watakuwako milele. Wanakula matunda ya kazi zao.”
Kisha akasema: “Kundi la tatu walikuwa na madeni ambayo hawakuwa na uwezo wa kuyalipa, lakini pia, nao hakuna hata mmoja ambaye aliniambia kuwa ana deni asiloweza kulipa. Kama wangefanya hivyo, ningewalipia madeni yao. Pia, walijaribu kutumia ufahamu wao na hekima yao, kitu ambacho hakikuwasaidia kwa njia yoyote. Hivi sasa wamejikuta mahali hapa ambako ndiko watakakoku. Wanakula matunda ya kazi yao. Moyo wangu unauma kwa ajili ya watu hawa wote maana ninawapenda sana.”
Katika kundi la kwanza, niliwaona ndugu zangu wawili wa kike wa karibu sana pamoja na mtoto wa miaka kumi na mbili, naye pia akiwa ndugu yangu. Nilijua alikuwa na miaka kumi na mbili maana huo ndio ulikuwa umri wake wakati anakufa. Katika kundi la pili nako pia niliwaona baadhi ya ndugu zangu, pamoja na Mchungaji ambaye nilimfahamu vizuri sana. Rafiki yangu wa kiume, Jakes, ambaye alijiua kwa sababu mimi niliamua kumpa Kristo maisha yangu, naye alikuwa kwenye kundi la pili. Niliwaona baadhi ya majirani zangu kwenye makundi yote pia.
Niliwatambua watu niliowajua kabla ya kufa kwao; nao pia walinitambua. Ndugu zangu walijawa na hasira sana waliponiona na wakaanza kunitukana. Walikuwa wakitumia lugha chafu kabisa wakati wakinitukana. Mmoja wao alisema kuwa sikustahili kumfuata mwanamume yule ambaye nilikuwa naongozana naye; walikuwa wakiongelea mambo ambayo nilikuwa nikiyafanya kabla ya kutoa maisha yangu kwa Kristo. Hawakuwa wakisema uongo. Mambo waliyokuwa wakinituhumu nayo yalikuwa ya kweli. Jakes alikuwa akisema kuwa mimi nilikuwa wa kwake na kwamba nilitakiwa kwenda pale alipokuwa maana nilitenda dhambi zilezile kama alizotenda yeye. Mara ya kwanza, yule mchungaji alionekana amefurahi kuniona na akasema nimefanya vema kuja, lakini alibadilika ghafla pale alipomwona yule niliyekuwa nimeongozana naye; kisha naye akajiunga na wale waliokuwa wakinilaani kwa matusi. Mwanamume yule aliyekuwa nami akaniambia nisiwajali maana hawajui walitendalo.
Nilipigwa na bumbuazi na kujawa na huzuni kubwa sana. Mwili wangu ulikuwa ukitetemeka na sikuweza kusimama. Nilikuwa nikilia bila kuweza kujizuia. Mwanamume yule alinigeukia, akanikumbatia, na kusema: “Amani iwe nawe, Victoria.” Nguvu zangu zilinirejea na nikajisikia salama mikononi mwake. Kisha akaniambia kuwa tulitakiwa kuondoka pale na kurudi. Alinitazama na kusema: “Victoria, nimeshakuonyesha. Sasa inabidi uchague ni kundi lipi unataka kuingia; uchaguzi umo mikononi mwako. Ni lazima uwaeleze watu kila kitu ulichokiona lakini usiongeze au kupunguza chochote.”
Nakumbuka kuwa tuliondoka pamoja kwenye ile sehemu ya kutisha lakini sikujua nimemwacha wapi maana fahamu zangu za kawaida zilinirudia. Nilifungua macho yangu na kujikuta kwenye mwili wangu wa nyama, huku nikiwa nimelazwa kwenye Hospitali ya Oshakati. Nilikuwa nimetundikiwa dripu kwenye mkono wangu wa kushoto; na nilimwona mama yangu na ndugu zangu wengine wa kijijini kwenye kona moja ya chumba, ambako walikuwa wakiniangalia kwa mshangao. Niliona kwenye uso wa mama yangu kwamba alikuwa analia. Nilimwuliza nesi mmojawapo kama alikuwa anafahamu tatizo langu lilikuwa nini lakini alinifanyia tu mzaha na kusema: “Umerudishwa. Labda ulifanya kosa fulani na unatakiwa kutubu.” Nesi alikuwa anajaribu kuelezea kwa lugha nyepesi namna hali yangu ilivyokuwa, lakini nilibaini kuwa alikuwa anaogopa kunikaribia. Nilimwomba aniitie daktari aliyenihudumia. 
Daktari alipofika, alisema kuwa hakujua kulikuwa na tatizo gani kwangu. Mwanzoni, alidhani kuwa nilikuwa na malaria lakini vipimo vilionyesha kuwa sikuwa nayo. Aliendelea kunieleza kuwa joto langu, mapigo ya moyo, na shinikizo la damu vilikuwa chini sana kwa viwango vya hatari lakini hakuweza kujua sababu yake. Alisema kuwa hakuwa na cha kufanya tena kwa ajili yangu. Hakuweza hata kuniandikia kulazwa maana sikuwa na ugonjwa. Dripu waliyoniwekea ilikuwa haifanyi kazi mwanzoni, lakini nilipofungua tu macho yangu, ikaanza kufanya kazi. Alipendekeza kuwa nesi aniwekee dripu nyingine mara ile ya kwanza itakapoisha ili niweze kupata nguvu za kutosha kwenda nyumbani.  
Niliogepeshwa na kile nilichoona mahali pale na sikuweza kujizuia kulia. Harufu mbaya ya pale iliendelea kuwa halisi kama nilipokuwapo hapo. Taswira za pale ziliendelea kunijia wakati wote. Nilishindwa kulala na mwili wangu wote ulihisi maumivu makubwa. Nilijihisi kana kwamba miguu na mikono yangu ilinyofolewa na kurudishiwa tena. Ah, nilijisikia vibaya sana. Nilikuwa na tumbo la kuendesha na kichwa kiligonga kwa wiki nzima.
Niliamua moyoni mwangu kwamba nisingemweleza mtu yeyote juu ya kile nilichoona maana ni nani kwanza angeniamini? Watu watanielewaje? Niliendelea kujiambia kuwa sitamweleza kamwe mtu yeyote juu ya mambo hayo. Mmoja wa washauri wangu alinipigia simu siku tatu baadaye kuulizia kuhusu hali yangu maana nilikuwa nimemtumia meseji aniombee. Bila kujitambua, nilijikuta nikimsimulia kuhusu yaliyonikuta. Niliposhtuka, tayari nilishamweleza karibu kila kitu. Nilitamani kujipiga mateke. Nilikuwa nalia kwa kuwa niliamini kuwa nimefanya kosa kubwa kabisa maishani mwangu. Sasa hadithi nzima ilikuwa wazi; hakukuwa na uwezekano wa kuificha tena. Sasa najua kuwa kama Mungu akitaka jambo fulani lielezwe, lazima litaelezwa. Maana yeye si ni Mungu?
***********
Agosti 19, niliamka huku nikijisikia hali ya upako kwenye mwili wangu wa nyama. Nilikuwa dhaifu na kutetemeka, huku mawimbi ya umeme yakipita kwenye mwili wangu. Jioni, niliona mwanga mkali ukija chumbani kwangu, na katikati yake, alikuwa yuleyule mwanamume. Safari hii alikaa chini kwenye kiti karibu na kitanda changu. Hata sielewi kiti hiki kilitoka wapi lakini kilikuwa pale mara tu alipokuwa tayari kukaa. Kilikuwa ni kiti kizuri cha dhahabu tupu. Umbo lake lilikuwa la kiti cha kawaida, kikiwa na sehemu ya kuegemeza mgongo. Kwenye kila mguu kulikuwa na nyota ya madini ya fedha iliyopachikwa kwenye dhahabu ile; nyota ileile ilikuwa pia katikati ya sehemu ya nyuma ya kuegemeza mgongo. Kulikuwa na magurudumu kwenye kila mguu.
Baada ya kunisalimia, aliniambia kuwa alijua kuwa nina maswali mengi kuhusu yeye ni nani; hivyo alikuja kujitambulisha kwangu na kufafanua mambo kadhaa ambayo tayari nilikuwa nimeyapitia. Alisema: “Mimi ni Yesu Kristo, Mwokozi wako. Kama una mashaka yoyote, tazama mikono yangu. Mahali pale ambako tulienda, ni Kuzimu.” Nilipoangalia mikono yake, niliona makovu ambamo misumari ilimtoboa.
Rafiki, napenda nikueleze kuwa kuzimu si sehemu ya kufikirika tu mawazoni; lakini ni mahali halisi na si kuzuri hata kidogo. Ni mahali ambako hakukutengenezwa kwa ajili ya wanadamu bali kwa ajili ya shetani na mapepo yake. Sehemu inayotustahili ni Mbinguni pamoja na Yesu lakini inatubidi tumchague Yesu kabla hatujachelewa. Leo, unapoisikia sauti yake, usifanye moyo wako kuwa mgumu; mkubali Yesu awe Mwokozi wako binafsi kisha uishi kwa ajili yake. Kuzimu ni kubaya mno: ni sehemu ya hofu na huzuni; ni sehemu ya mateso na vilio vya milele na kusaga meno. Shetani anataka awachukue watu wengi kadiri iwezekanavyo ili aende kule pamoja nao. Usishirikiane naye; shirikiana na Yesu nawe, badala ya kufa, utaishi.
Sikuelewa kwa nini Bwana aliniambia nichague kati ya makundi mawili aliyonionyesha kule kuzimu ilhali mimi tayari nilikuwa Mkristo niliyeokoka. Nimeshamkubali maishani mwangu lakini bado alikuwa akiniambia nichague kama nataka kwenda kuzimu au la! Sikuweza kuelewa. Nilianza kuomba na kumwuliza Mungu anipatie ufunuo juu ya kile alichomaanisha na ni nini anataka nifanye. Bwana alinifunulia kuwa nilikuwa nimeficha roho ya kutosamehe na chuki moyoni mwangu kwa sababu ya dada yangu mmoja, pamoja na binamu yangu mmoja. Nilimwomba Bwana anisamehe kutokana na kutosamehe kwangu. Pia nilimwomba dada yangu anisamehe kwa kuweka hasira na uchungu moyoni mwangu kwa ajili yake. Bwana alinielekeza niende pia nikamwombe msamaha binamu yangu.
Bwana pia alinikumbusha kuwa kulikuwa na wakati ambapo nilipata kazi ya ualimu kwa kutumia cheti cha diploma cha uongo na alihesabu hilo kuwa ni deni na wizi. Nilikusudia kutenda kilicho sahihi na nilimwomba anisaidie kutoka kwenye tatizo hili na anionyeshe njia rahisi ya kutoka humo maana hili lilikuwa ni kosa kubwa na lingeweza kunifannya nifungwe. Alinielekeza niende kwenye Idara ya Elimu nikakiri kosa nililofanya. Nilikuwa tayari kwenda jela kama ingebidi. Nilipata upendeleo wa Bwana kwa kiasi kikubwa sana. Nilipofika kule, mhusika kwenye Idara ya Elimu aliniambia niamue kile ninachotaka kufanya: ama kulipa mshahara ambao nilipokea kutoka serikalini au la. Waliahidi kuwa hawatanishtaki maana walishangazwa na kitendo changu cha kwenda kukiri kosa lile. Mungu wetu ni Mungu mwaminifu ambaye analiheshimu Neno lake.
Kama uko kwenye hali inayofanana na niliyokuwa nayo, napenda nikutie moyo kuwa utende kile kilicho sahihi, bila kujali matokeo. Unaweza kufungwa kwenye jela ya kidunia lakini hiyo ni ya muda tu. Hakuna maumivu au aibu inaweza kulinganishwa na kutengwa na Mungu milele. Kuzimu si mahali pazuri: ni bora kumruhusu Mungu akuhukumu sasa kabla hujachelewa. Hatutakiwi kuogopa hukumu ya Mungu tungali bado kwenye kipindi cha Neema; ni lazima tumruhusu afunue chochote kisicho sawa kwenye maisha yetu tungali bado na muda wa kuweka mambo sawa naye, maana hakuna msamaha upande wa pili wa kaburi.
Safari ya pili kuzimu
Oktoba 18, 2005, niliamka saa 11:30 asubuhi lakini sikuweza kwenda kazini. Nilijisikia hali ya udhaifu sana na  kulewa; sikuweza kusogea au kugeuka kitandani kwangu; na uwepo wa Bwana ulikuwa mzito sana chumbani. Nilikuwa natetemeka na nikahisi kama umeme ukipita mwilini mwangu. Bwana alinijia kabla tu ya saa 2:00 maana kwa mara ya mwisho nilipotazama saa ilikuwa ni saa 1:48; na Yeye alifika muda mfupi tu baada ya hapo. Alinisalimia na kusema kuwa tunatakiwa kwenda tena maana muda unaisha haraka sana. Nilisimama na tulianza kutembea. Utembeaji wa safari hii ulikuwa tofauti kabisa na safari zingine zote. Japokuwa miguu yetu ilikuwa inafanya kitendo cha kutembea, tulikuwa kama vile tunaelea zaidi kuliko kutembea. Wakati tukiwa njiani, Yesu aliniambia kuwa dhambi zote ni mbaya na hakuna kitu kama dhambi ndogo au dhambi kubwa. Dhambi zote mwisho wake ni mauti - ziwe kubwa au ndogo. Bwana aliniambia kwamba tunaenda kutembelea kuzimu tena na akaniuliza iwapo nilikuwa nina hofu. Nilimjibu kuwa nilikuwa nayo.
Alisema, Roho ya woga haitoki kwa Baba yangu au kwangu; inatoka kwa Ibilisi. Woga utakusababisha utende mambo ambayo yatakupeleka kuzimu.” 
Bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu na hofu ni kinyume kabisa cha imani. Ni wazi kuwa hofu haimpendezi Mungu kwa kuwa inaharibu imani yetu. Muda wote tulipokuwa njiani, tulikuwa tunatembea kila mmoja peke yake. Lakini mara tu tulipofika kwenye lango la kuzimu, alinishika mkono wangu kwa mkono wake wa kulia kwa muda wote tuliokuwa kuzimu. Nilifurahi sana kwa Bwana kunishika mkono maana kwa namna alivyokuwa amenishikilia kwa nguvu, hofu yote ilitoweka. Sehemu ile ilikuwa bado iko vilevile: hakukuwa na tofauti na ilivyokuwa mwanzo. Kulikuwa na wadudu, funza, joto kali sana, harufu, mifupa, kelele: kila kitu kilikuwa kama mwanzo nilipoenda pale. Tulipita tena kwenye geti lilelile baya na Bwana akanipeleka kwenye kundi moja la watu. Kulikuwa na watu wengi niliowafahamu wakati wangali duniani. Maskini, walikuwa kwenye hali mbaya sana. Walionekana ni wenye taabu na maumivu makubwa; lakini baya zaidi ilikuwa ni nyuso zao zisizo na matumaini kabisa.   
Bwana alimwonyesha mwanamke mmoja wa makamo ambaye nilimfahamu kabla hajafa. Alikufa kwa ajali ya gari mwanzoni mwa mwaka 2005. Nilipigwa na butwaa kumwona pale maana sote tulimjua kuwa ni mtu aliyekuwa na hofu ya Mungu na aliyempenda Mungu. Bwana aliniambia kuwa mwanamke yule alimpenda na Yeye Bwana naye alimpenda; alimwokoa angali akiwa duniani; aliwashuhudia wengi ambao walimwijia Bwana na alifahamu Neno vizuri sana. Alikuwa mkarimmu kwa maskini na wahitaji; aliwapatia walichohitaji, na kuwasaidia kwa njia nyingi. Alikuwa ni mtumishi mzuri wa Bwana kwa namna nyingi.
Maneno hayo ya Bwana yalinishitua hata zaidi; nami nikamwuliza kwa nini amwache mtu kama huyo aliyemtumikia kwa kiasi kikubwa hivyo aingie kuzimu? Bwana alinitazama na kusema kuwa mwanamke yule aliamini uongo wa Ibilisi. Japokuwa aliyajua Maandiko vizuri, aliamini uongo wa ibilisi kwamba kuna dhambi ndogo na kubwa. Alidhani kuwa dhambi ‘ndogo’ zisingempeleka kuzimu, maana alikuwa Mkristo hata hivyo.
Bwana aliendelea kusema, “Nilimwendea mara nyingi na kumwambia aache kile alichokuwa anakifanya lakini mara nyingi alijenga hoja akilini mwake kuwa kile alichokuwa anakifanya kilikuwa ni kidogo sana na alichukulia kuwa yale maonyo yangu yalikuwa ni hisia zake tu za hatia. Kulikuwa na muda ambapo aliacha kwa muda lakini baadaye alijishawishi tena kuwa maonyo yale hayakuwa yanatoka kwangu, bali ni sauti yake tu kwa kuwa aliona kuwa dhambi ile ilikuwa ni ndogo sana kuweza kumhuzunisha Roho Mtakatifu.”
Nilimwuliza tena Bwana ili aniambie ni dhambi gani basi mwanamke yule alitenda. Alinijibu kwamba, “Mwanamke huyu alikuwa na rafiki ambaye alikuwa nesi kwenye Hospitali ya Oshakati. Kila mwanamke huyu alipoumwa, hakwenda hospitali na kulipa kwa ajili kadi yake kama inavyotakiwa kwenye taratibu za kawaida; badala yake yeyé alipiga tu simu na kumwambia rafiki yake amfanyie mipango ya dawa kutoka kwenye  Zahanati ya Hospitali. Na mara zote rafiki yake yule alikubali na kumwambia kuwa apite pale muda fulani kuchukua dawa. Kwanza, aliamua kukubali uongo wa ibilisi juu ya kuwapo kwa dhambi kubwa na ndogo na kuikataa kweli yangu; alimsababisha mtu mwingine atende dhambi na kuiba kwa niaba yake, lakini kibaya zaidi, ALIMHUZUNISHA ROHO MTAKATIFU. Hicho ndicho kilichomfanya afike kuzimu. Haijalishi kwamba utaleta mamilioni ya roho kwa Bwana; bado upo uwezekano wa kuingia kuzimu kutokana na kumhuzumisha Roho Mtakatifu. Si tu kwamba ni lazima ujali wokovu wa wengine lakini pia ni lazima uwe mwangalifu usije ukasahau roho yako. Kuwa makini na Roho Mtakatifu wakati wote.” Baada ya maneno hayo, Bwana alisema ni wakati wa kurudi.
************
Wakristo wengi waliosikia hadithi yangu hii huiona kama ina matatizo. Mara nyingi huwa wanniuliza, “Vipi kuhusu kuhesabiwa haki, rehema, na neema?” na pia “Inawezekana kweli kupoteza Wokovu wako baada ya kuwa umeupokea?”  
“Huko si kuvuka kiwango?”
“Mungu anaweza kuwa mkatili kiasi hicho?”
Kama nilivyosema kwingineko kwenye kitabu hiki, mimi siongei theolojia yangu hapa. Ninasema tu kile ambacho Bwana alinionyesha na kunifundisha – na kile alichoniruhusu kukishuhudia. Tafadhali someni Biblia zenu ili kupata majibu. Tazama aya zifuatazo, kisha uhukumu mwenyewe.
“…bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa.” (1Wakorintho 9:27)
Tuseme nini basi? Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi?
Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi? (Warumi 6:1-2)
Basi, dhambi isitawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti, hata mkazitii tamaa zake.” (Warumi 6:12)
Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi; bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao. (Waebrania 10:26 –27)
Unasema, “Je, naweza kwenda kuzimu baada ya kuwa nimemtumikia Bwana na kuwaleta wengi kwa Kristo?” Hukumu mwenyewe!
Kutokutii
Jumatatu ya tarehe 6 Machi 2006, niliamshwa na saa ya kengele saa 11:30. Nilianza kuomba na nikatambua kulikuwa na upako mzito juu yangu. Mwili wangu ulikuwa dhaifu na nilikuwa nikitetemeka; mawimbi ya umeme yalikuwa yanapita kwenye mwili wangu.
Wakati wa mchana, nikiwa nimelala kitandani, niliona nuru nyeupe ikijaza chumba changu. Niliona shanga ndogondogo, nyeupe, za duara, zenye ukubwa wa kichwa cha pini. Shanga hizi zilikuwa zikianguka kama mvua inavyonyesha na zilipogusa ngozi yangu, zilizama ndani. Zaidi ya hapo, niliona kama wingu linalofanana na ukungu mweupe likija kutokea juu. Nalo pia lilikijaza chumba na likawa likizama kwenye ngozi yangu kila liliponigusa. Baada ya hapo, nilimwona Yesu akitembea katikati ya lile wingu la ukungu kuelekea pale nilipokuwa. Alikaa kwenye kiti chake pembeni mwa kitanda changu. Hata sielewi kiti hiki kinatokea wapi; huwa kinatokea tu mara anapokuwa tayari kukaa.  Ni kiti kizuri kilichotengenezwa kwa dhahabu. Umbo lake ni kama la viti vingi tunavyovifahamu lakini kina sehemu ya kuegemeza mgongo. Kwenye kila mguu kuna nyota ya fedha; na nyota nyingine ya aina ileile, japo ni kubwa zaidi, iko kwenye sehemu ya kuegemea. Kuna magurudumu kwenye kila mguu.
Yesu alinisalimia na akaninyooshea mkono wake na kuniambia niamke maana muda unakimbia haraka sana. Alinivuta mkono wangu nami nikainuka na kukaa kitandani kwangu.
Kisha akaniambia, Victoria, tuombe.” Aliomba kwa lugha ambayo siielewi; nilielewa neno moja tu ‘Amen’. Kisha aliendelea kwa kuniuliza nilikuwa naona nini nami nilimwambia kuwa nilikuwa naona kundi la watu wakienda kazini kwao na wengine wakirudi kutoka kazini kwao. Nilikuwa pia naona vile vishanga vyeupe vikiwaangukia wale waliofika mwanzo kazini kwao. Baada ya kundi la kwanza, kundi jingine nalo lilifika baadaye.  Wakati huo, ile mvua ya vile vishanga iliacha kunyesha.
Niliona pia makundi mbalimbali ya watu, wakiwasili kwenye makanisa mbalimbali Jumapili asubuhi. Mvua ile ingeanza kunyesha mara tu watu wa mwanzo wanapoingia kwenye uwanja wa kanisa. Iliendelea kunyesha kwa muda kisha ikasimama. Wale wanaochelewa hawakuti chochote.  
Yesu aliniuliza iwapo nilikuwa naelewa maana ya maono yale, nami nilimwambia kuwa sikuelewa. Ndipo alinifafanulia kwa kusema kwamba: “Maono haya yanamaanisha kuwa kila mahali ambako unatakiwa kuwako kwa muda fulani na wewe unajua ni wakati gani unatakiwa kuwa pale, mara zote huwa kuna malaika wanagawa baraka kwa ajili ya muda huo. Kama ukifika mapema, utapokea baraka zako, lakini ukichelewa, unakosa baraka zako kwa siku ile maana malaika hugawa baraka kwa muda ule tu. Victoria, nataka kukuonya kwa sababu huwa unaenda kazini kwa kuchelewa, na hasa huwa unaenda kanisani kwa kuchelewa. Ni lazima ujue kuwa kwa nyakati zile huwa unachelewa bila kuwa na sababu za msingi; umekuwa ukikosa baraka zako kwa siku zile; hazitakurudia tena.  Victoria, ni lazima uache jambo hili na usilitende tena, isipokuwa pale unapokuwa na sababu ya msingi ya kuchelewa.”  
Bwana alipomaliza kusema maneno yale, kwa kweli nilitamani kutoweka au angalau nimpatie sababu inayokubalika kutokana na kukosa kwangu nidhamu. Nilimwambia kuwa wakati mwingine napitiliza kulala lakini alinitazama moja kwa moja machoni na kusema kuwa nilikuwa nasema uongo na kwamba nilikuwa nina tabia mbaya ya kurudi kitandani baada ya kuwa nimeamka, ili kutimiza ile shauku ya kusema ‘ngoja nilale kidogo tu.’
Baada ya Yesu kuwa amenionya. alisema, “Simama. Tuondoke sasa. Muda unakimbia haraka sana. Kuna mambo ambayo ni lazima tuyafanye.”
Safari hii Bwana alinipeleka mahali ambako sikuwahi kufika kabla. Ilikuwa pia ni mara ya kwanza kufuata barabara tuliyotembea siku ile. Tulifika kwenye bustani iliyojaa maua mazuri na miti mizuri ya kijani. Hakuna kitu duniani kinachoweza kulingana na mahali pale. Maua yalikuwa ya kila aina ya rangi za kung’aa.  Tulikaa kwenye benchi zuri la bustanini, ambalo lilitengenezwa kwa dhahabu safi huku likiwa na nyota ndogo za madini ya fedha ya kung’aa.
Tulipokaa, alionyesha kidole mbele na kusema, “Victoria, tazama, unaweza kuona mji ule? Nilipotazama, niliona jiji kubwa sana. Lilikuwa zuri kuliko maelezo. Jiji lile lilikuwa na geti la dhahabu inayong’aa, na kwenye geti lile kulikuwa na mwanamume amekaa, mwenye umri mkubwa. Alikuwa na ndevu ndefu nyeupe na nywele nyeupe. Nilishamwona mwanamume huyo kabla; na nilipomwuliza Yesu kuwa mwanamume yule ni nani, aliniambia kuwa alikuwa ni Ibrahimu, baba wa imani.
Niliona barabara nyingi kwenye mji ule, ambazo nazo ni za dhahabu. Kuna majengo marefu, ambayo nayo yalikuwa ya dhahabu inayong’aa. Mng’ao wa mji ule hata hauelezeki!
Yesu alinigeukia na kuniuliza, Unawaza nini juu ya jiji lile?”
Nilimjibu kuwa lilikuwa ni zuri sana na nilikuwa natamani kwenda pale. Yesu alisema: “Nitakupeleka pale kama ukiendelea kuwa mtii maana hapo pia ndiko nyumba yako itakakokuwako. Uendelee tu kuwa mtii – maana ukikosa utii, Victoria, kunguru wataruka kwenye nyumba yako. Nyumba yako itakuwa makao ya bundi na viwanja vya kuchezea vya mizimu. Hata hivyo, usiogope, maana mimi niko pamoja nawe. Wewe uwe mtii tu. Kwa kila mmoja ambaye si mtii, nyumba yake itakuwa na kunguru wakiruka pale; itakuwa ni makao ya bundi na mahali pa mizimu pa kuchezea.”
Yesu ni halisi na anatupenda kwa pendo lisiloweza kuelezeka. Shauku yake kubwa ni sisi tuchague uzima na kuishi milele naye. Moyo wake unauma kwa ajili ya wale watu ambao wanakufa na kuenda kuzimu kwa vile tu wanachagua kukataa Wokovu aliowapa na badala yake wanachagua mauti.
Uwe ni Mkristo uliyeokoka au la, tafadhali siku zote kumbuka jambo hili: Muda unakimbia haraka!


**********************



To Hell and Back
by
Dr.  Rawlings Documentary




(Mathew 7:13-14)
Enter through the narrow gate, for the gate is wide and the way is broad that leads to destruction, and there are many who enter through it.  For the Gate is small and the way is narrow that leads to life, and there are few that find it.

1st Witness
[1st Witness]
There are people that talk about light, there are people that talk about floating above, there are people that talk about warmth and love, I didn’t feel any of that, I felt none of that.  I felt untold terror.
It is very easy to be an atheist when you’re successful, but it’s very difficult to be an atheist when you’re laying on your death bed.

2nd Witness 
[2nd Witness]
When I came to, Dr.  Rawlings said my hair was literally standing on end. 

3rd Witness
[3rd Witness]
It was an incredible experience to see that there is life beyond life. 
[Announcer]
Everyday people, like you and me, living their lives one minute and the next they lay dying, having never known or believed the message of salvation.  They traveled from this world to one beyond, but what they found was pure terror.  They returned and these are their true stories.

Renowned Cardiologist and Author, Dr.  Maurice Rawlings will take you on a journey that few have ever spoken of.

4th Witness
[4th Witness]
So I called out into the darkness, “Jesus, please save me!” Because I was either going to Heaven or Hell, there wasn’t anything else. 

5th Witness
[5th Witness]
Hear the voice of one that has heard the screams.
 
[Announcer]
This may be your only chance to safely go to Hell and Back.

Dr. Rawlings[Dr.  Rawlings]
This is a study on life after death.  All through history man has predicted life after death.  All bibles are based on life after death, all religions.  But where are these? Who has come back to show us that there is life after death?
Now through modern resuscitation methods, bringing the heart back, bringing breathing back, we can now bring a whole population of people back to talk to us about what’s on the other side of death.  See what you think about some of these cases that we are going to present.  The good ones are a dime a dozen, because people love to tell about the wonderful experience they had after they died and came back.
The Hell experiences are somewhat embarrassing.  It’s an F on the report card, a slap in the face from God.  We have some cases of people who will tell you about their own hell experiences, so that you won’t have to go where they went.  We mainly want to teach you how to restart the heart; restart the breathing, on someone who has recently died.  Notice that death is reversible; you have 4 minutes of viable time before the brain cells start dying because of the lack of blood flow, and before rigor mortis sets in. 
I have seen 2 deaths, where resurrection was required, something that man can NOT do.  We can only do resuscitation, something God has permitted us to do.  How many hell experiences have had a person's conversion and salvation while they were on the floor, and the person then only remember the good experiences?  This was not the case in Ronald Reagan (Not associated with X-President Ronald Reagan) He had his little boy with him while going to a 7-11 store, he got into an argument, and there was a bottle broken, and he was stabbed multiple times by his assailant. 


Ronald Reagan
===Ronald Reagan ===
[Ronald Reagan]
In 1972 my life was broken.  I was a drug addict.  I was a criminal.  My family was broken.  My wife had filed for divorce a couple of times.  My children were afraid of me.  I really couldn’t hold a job, my mental state was terrible.  It was in this frame of life that I took my 6 year old son to a little market to purchase some things.  On the way in, I met a gentlemen coming out the door.  An argument erupted and before I knew it I had hit him and knocked him down.  He fell into a pile of bottles.  Some bottles broke and immediately he leaped up with a broken bottle and began to stab at me.  I lifted my left arm to try and stop the blows, and the bottle severed my biceps muscle & the major arteries in my arm.  I was bleeding to death in a matter of seconds.  But full of anger, hatred and rage, I kept fighting and it kept bleeding.  My little son was screaming, he was hysterical.

The owner of the 7-11 store came over and said that if I didn’t get to a hospital, I would bleed to death in just a few minutes.  So he took me in my own car to the hospital.  When we entered the emergency room, I was barely conscious.  As the medical staff began to work on me, I could hear their voices, they were saying, “We can’t help him.  He’ll have to be transported to another Reagan in the Ambulancehospital.  Probably we’ll loose the arm.” By the time they loaded me into the ambulance, my wife had arrived and went with us in the ambulance.  But as they pulled out of the parking lot of that hospital, a young paramedic looked down into my face, and I could barely see I was so weak.  He said “Sir, you need Jesus Christ” But I didn’t know Jesus, I didn’t know what he was talking about, so my reaction to that was to begin cursing.  And again he stated to me, “You need Jesus!” 
As he was talking to me, it appeared that the ambulance literally blew up in flames.  I thought it had actually blown up.  It filled with smoke and immediately I was moving through that smoke, as if through a tunnel.  After some period of time, coming out of the smoke and out of the darkness I began to hear the voices of a multitude of people.  They were screaming, groaning and crying.  But as I was looking down, it appeared like a volcanic opening.  I saw fire, smoke and people inside of this burning place.  They were screaming and crying, they were burning, but they weren’t burning up, they weren’t being consumed.  Then I began moving downward into this opening.

Elaine Reagan[Wife, Elaine Reagan]
He was thrashing, just thrashing about, moaning and groaning.  It was like a battle was going on.  I wasn’t a Christian at the time, and I didn’t know anything about spiritual battles.  But it was scary to me because I could feel it.  It was like light and darkness.  It was like he was fighting against something.  I didn’t know what, but now I know, he was seeing the vision of hell.

[Ronald Reagan]
But the terrible thing was that I began to recognize many of the people that were in these flames.  It was like a camera lens was showing me their faces, close up.  I could see their features, I could see their agony, pain and frustration.  A number of them began to call my name, and said “Ronny, don’t come to this place, there is no way out.  There is no escape if you come here, no
Burning in Hellway out.
I looked into the face of one man who had died in a robbery attempt, he had been shot and bled to death on the sidewalk.  I looked into the face of two others who had died drunk in an automobile accident.  I looked into the face of others who had died of drug overdoses, that I once partied with.  They showed agony and pain, but I believe that the most painful part was the utter loneliness.  The depression was so heavy, that there was no hope, no escape, there was no way out of this place.  The smell was like sulfur, like an electric welder, the stench was terrible. 
In my life, I had seen people killed, I had been involved in fights where people were killed.  I’ve done time in prison for manslaughter.  I grew up in a reform school, and in a jail cell.  I was beat unmercifully as a child by a father who had temper and alcohol problems.  I was a runaway at 12 years old and I felt that there was nothing in this world that could frighten me.  My life was wrecked, my marriage was wrecked, my health was wrecked.  But now I was seeing something that scared me to death, because I didn't understand it.  And as I am looking into this pit, this place of fire, screams and torment, I fade out into blackness. 
When I opened my eyes, I was in a hospital room in Knoxville; Tennessee with my wife sitting by.  There had been multiple stitches put into my body, my arm was spared.  I had almost 100 stitches.  I looked into the face of my wife.  I wasn’t concerned about where I was, or anything around me.  All I could visualize was what I had just seen. 

[Elaine Reagan]
He had this funny look on his face, and it was a terrifying look.  And he said, “I don’t really know what’s happening to me, but I’ve been in a terrible place.” And I kept telling him “you’ve been in the hospital, you’ve been in the hospital all this time.” And he kept saying, “No, I’ve been in another place.  I don’t know exactly what is was, but it was a terrible, terrible place.

[Ronald Reagan]
I could still hear the screams.  I could still smell the terrible smell.  I could still feel the heat, and I could still hear the voices of people that I’ve known screaming for me to go back.  Through the days to come, I tried every way to get that out of my mind.  I tried to get drunk, I could not get drunk.  I tried to get stoned, I could not get stoned, I tried everything that I could to get this off my mind and I could not. 

Elaine on Bed with BibleOne morning, several months later, I came home to where my wife was.  I had been trying to get drunk, but I couldn’t.  When I walked in the house and went back to the bedroom, the light was on.  My wife was sitting up in bed, and she had a large book open on her lap.  She looked up at me and her face was literally shining.  And she said, “Ronny, tonight I accepted the Lord Jesus Christ as my savior," 
She didn’t have to say a lot to me, our life had been filled with agony.  She grew up in Chicago; her father was a bartender on the South side of Chicago.  She knew nothing about God, or church or religion.  The pain showed on her face, the wrinkles that I gave her from my abuse, violence, alcoholism, Trying to get drunkand drug addiction.  Sometimes I would be gone for months of time, and she and the kids would have no idea where I was.  But now her face had changed.  The wrinkles were literally gone, a smile had replaced the sorrow and agony.  She looked at me and said, “Jesus saved me tonight.  Would you go with me and hear about this man called Jesus.”  I thought to myself, “I tried everything else in life, nothing has worked for me. The people I love the most, my wife, my children, I’m terrible to them." So I agreed to go with her. 
Ronald in ChurchA couple of weeks later on a Sunday morning, November 2, 1972, just before 12 am, a minister stood to read from the bible.  I was sitting in the back of the building, I didn’t know anything out of the bible.  I didn’t know how to act at church.  But the minister stood to read from the bible, and he read from the Gospel of John.  He began to read these words “behold the lamb of God that takes away the sins of the world.”  When he said “the Lamb” he had my attention.  Any other passage wouldn’t have meant anything to me, but when he mentioned “the Lamb” he had this hard hearted Ronald with Lambsinner’s attention. 
Because when I was 9 years old, a very poor child in the mountains of eastern Tennessee, with a father who only knew anger, abuse and alcohol, a neighbor had given me a baby lamb.  And I had to walk two miles to catch the school bus.  One day coming through her yard she stopped me and said, “Son I have a gift for you” and she showed me this baby lamb. 
I took that lamb home with me, it was my friend, the only friend I felt like I had.  It was such a friend, in the days and weeks to come it followed me, and it would meet me when I got off the school bus.  It came walking through the woods and fields to meet me. 
One evening as I came home, the lamb was missing.  I heard my father cursing and screaming, he was working on an old model car, changing a flat tire by hand, the old way.   I tried to walk around him because I didn’t want to be cursed.   I tried to bypass him, but when I got on the other side of the car, I looked down and there was my lamb with blood all over the white wool.  There was a tire rod sticking in its body. 
The lamb had come around just wanting to be curious, and in a drunken fit of anger, my father had plunged the tire iron through that lamb. 
When I saw my lamb, my friend, dead, I began to scream.  I ran into the woods screaming, “he’s killed my lamb, he’s killed the lamb!
Dead LambAt 9 years old, hatred and violence took over my life, possessed my life.  From that point on, I was never ever the same.  By 12 years old I was a runaway.  I was in the Juvenile system, arrested time after time.  I had no respect for authority.  I hated anyone that represented authority over me.  By the time I was 15 years old, I had been in Jail for car theft, for stealing.  At 15 years old I was sentenced for manslaughter; being involved in a car accident that had killed some and left others crippled.  At that time I wondered if life would ever hold anything for me.
But when that minister mentioned “The Lamb” he had my attention.  He said that Jesus Christ was God’s lamb, and He died and shed His blood so that whosoever wants to, can have a new start.  They could be forgiven and start over. 
Ronald at Church pulpitThat morning, as I stood to try and leave the building, I thought, “I don’t want anybody to see me cry.  I haven't cried since I was 9 years old.  I’m not afraid of any living thing on this Earth, and no one is going to see me cry."
I turned to leave, but instead I started down the aisle toward the front of that building.  I didn’t know the sinners prayer, I didn’t know the Roman road of salvation.  But my prayer was this, “God, if You exist, and Jesus, if You are God’s lamb, please, please kill me or cure me.  I don’t want to live anymore, I’m not a husband, I’m not a father, I’m no good.” And at that instant, it was like the darkness and the blackness left my life.  Then the tears began to flow and for the first time since I was 9 years old, the tears did run.  The guilt left my life, the violence, anger and the hatred left my life.  And Jesus Christ became Lord and savior of my life that morning. 
After that wonderful morning when I gave my life to Jesus Christ, I didn’t know what would happen.  God healed my mind, my memory, the drug addiction; the alcoholism was instantaneously gone, delivered.  And from that moment I knew I had to tell the story of what had happened to me.  My life was only spared to tell others about the place that I had seen, and the hope of Jesus Christ to save mankind from this terrible fate.
 


=== OBE & NDE ===
Dr. Rawlings[Dr.  Rawlings]
Here we are again wondering whether hell is for the bad guys or the good guys.  I would like to introduce the subject OBE (Out of Body Experience) and NDE (Near Death Experience).  You know what clinical death is, where the heart stops, breathing stops, but then we start life again.  Restart the breathing and the Heart, and a person comes back from death to life.  A reversible situation before rigor mortis sets in.
But Out of Body Experiences and Near Death Experiences are entirely different.  Near Death Experience are like if I hold a gun up to you and say “give me your money.”  You may get scared to death (a near death experience), but you don’t get anywhere near dying.  Almost near car crash accidents, are near death experiences, but there is nothing involving stopping the heart beating or stopping breathing.  And yet, most of the authors that write books on this subject are including OBE and NDE without clinical death.  We are just investigating clinical death, where people actually die and come back to life. 
Now Out of Body Experiences is a way to get there without dying.  How would you like to find out what death feels like, without dying?
·         Deep hypnosis can get you there. 
·         You can go see a guru over in India, learning meditation techniques with a mantra. 
·         You can have chemical hypnosis. 
·         You can go Skrying with a crystal ball. 
·         You can have electrical stimulus of the brain. 
·         [Please don’t get involved with any of theses.]
There are many ways of getting out of the body, to experience life beyond the body, separating the spirit from the body.   This is the definition in the Bible, when the spirit separates from the body.  But we are talking about a permanent separation, not a man-made separation.  And we are not talking about NDEs or OBEs, we are talking about clinical death.  This is where the great majority of people have true experiences.
 


=== Charles McKaig ===
One of the cases is Charles McKaig, a 57 year old mail carrier.  He was having chest pains.  We took him to the office; put him on the tread mill, until he got his chest pain again.  He was attached to an EKG.  (Electrocardiogram/heart monitor), the EKG went haywire.  We knew he had chest pains, but before we could stop the machine, he dropped dead.
But when he dropped dead, he had a very peculiar situation.  He convulsed like most people do when they first die and the heart stops providing blood to the brain.  His eyes rolled up, he turned blue, he stopped breathing.  The nurse started an IV and I started an external heart massage.  The strangest thing happened, when I stopped resuscitating to put in a pace maker. 

Charles McKaig 1Charles McKaig in Hospital[Charles McKaig]
When I came to, Dr.  Rawlings said my hair was literally standing on end, and my eyes had already started dilating.  I was absolutely scared to death, I was horrified. 
My life was very normal, I partied a lot.  I had joined a church at a young age, because of my parents.  I really didn’t realize what church was about, or what accepting Christ was about.
Early one morning at work I had walked to the local clinic in my hometown.  At that time I thought I might be having a heart attack.  So then I met Dr.  Rawlings.  He kept me for about 3 or 4 days.  And then he gave me a stress test.  I remember while taking it I felt like I really wanted to get off, and that was the last thing I remember of that.
CPR on Charles McKaigWhen I came to, Dr.  Rawlings was giving me CPR, and he asked me what was the matter, because I was looking so scared.  I told him that I had been to hell and I need help!  He said to me, “keep your hell to yourself, I’m a doctor and I’m trying to save your life, you need a minister for that.” As he was giving me CPR, he was trying to install a pacemaker with the other hand.  And I would fade out every so often, so then he would focus CPR again and bring me back.
I was soon floating in the air, watching what was going on, looking down.  Whenever I would come back to my body, I kept asking, “Please help me, please help me, I don’t want to go back to hell.” Soon a nurse named Pam said, “He needs help, do something!” At that time, Dr.  Rawlings told me to repeat this short prayer.  “I believe Jesus Christ is the Son of God.  Jesus, save my soul.  Keep me alive.  If I die, please keep me Hallway of colorsout of hell!
After that, the other fading out experiences were very pleasant.  I saw my stepmother, my mother.  My mom passed away when I was about 5 months old.  I never saw a photograph of her.  My stepmother passed away about 10 years ago.  I did not have any contact with them.  All I could remember was that they kept their hands reached out to me.
I’ve heard it said that you couldn’t carry money with you, and when I was with my mother and stepmother, I saw they had no pockets.  I know that sounds weird but I was trying to remember everything I saw. 
After that, I remember walking down a lane that had colors on both sides, brilliant colors.  I had a little experience in Art, but nobody, not ever Rembrandt could reproduce those colors, they were so bright.  There was this light that surrounded me, I believe it was the Holy Spirit.  It surrounded me and took care of me.  I’ve never felt so good and so safe in my whole life.

[Dr.  Rawlings]
After this was all over, I realized what really happened.  It was a double conversion.  Not only had this make-believe prayer converted this atheist on the floor, it had also converted this atheist doctor that was working on him. (Dr.  Rawlings pointing toward himself)  That is the only reason I can appear to you now, to tell you that there is a life after death.  And it is NOT all good. 
Charles McKaig on tread millMost of you can tell the difference between simple fading, clinical death and biologic death.  Take the case of Charles McKaig.  He was on the treadmill and I could tell that he was in clinical death.  He had a startled question on his face, he was about to ask the question and was looking dumbfounded at me.  As he was walking on the treadmill I noticed that his heart had stopped and his breathing has stopped.  He was still walking and talking for a minute or two before the lack of blood to the brain caused him to drop dead.  He was dead and didn’t even know it.  I should have told him.
Soon we started clinical death treatment, CPR.  We started the heart up again, we started the breathing again and he came back.  This was clearly clinical death.  Now biologic death would have occurred if 4-6 minutes time had passed after clinical death.  Because of the lack of oxygen to the brain, the brain cells die; they are the most sensitive cells in the body.  Then rigor mortis sets in and the person becomes stiff as a board.  And now we need resurrection, only God can do resurrection.  We can only do resuscitation.  Something we are permitted to do.

=== Howard Storm ===
Howard Storm was an art a literary professor who was in Paris with his class, when he suddenly had a stomach rupture, ulcer rupture, peritonitis, shock, sudden death, clinical death, resuscitation, and hell experience. 
Howard Storm[Howard Storm]
Howard Storm familyI was a 38 year old college professor, teaching art.  I had taken my students along with my wife around Europe.  We had just done a 3 week tour, and this was the next to the last day.  While we were in Paris, at 11:00 am, I had a perforation of my stomach.  When this happened it was the most acute pain I had ever experienced in my life, and it just dropped me right down on the ground.  So I was twisting, screaming, moaning, kicking and yelling around on the floor, and my wife called the emergency service. 
A doctor came and got an ambulance because he knew what was wrong.  The ambulance took me 8 miles across town to a public hospital.  I was then taken into the emergency room and examined by 2 more doctors, who knew exactly what was wrong with me.  Then I went into surgery. 
But because there was no surgeon available, I was just parked there to wait.  So I lay there for 8 to 10 hours in that hospital with no medication, no examination, no attention what-so-ever, waiting for a surgeon to come and give me a critical operation.
Now it 8:30 at night and a nurse came in and told me that they were very sorry that could not get a doctor for me and that they would get one the next day.  When she said that, I knew it was over for me, I knew I was dead.  The only thing keeping me alive was that I didn’t want to die.  I knew I was an atheist, a non-believer, a person who lived for their own gratification. 
Next to the pain, dying was the worst thing that could happen to me because it was the end of life, and there was no more, nothing else.  But when she told me that no surgeon was available until the next day, the idea of trying to exist for another minute or another hour with this pain was not worth it anymore.  I had been hanging on in the hopes that they would get a doctor and do the surgery, open me up and fix the problem.  But when they said they could not get a doctor, I said to my wife that is was time for us to say good bye because I’m going to die now. 
So she got up and put her arms around me, she told me how much she loved me and I told her how much I loved her, it was really sad.  We made our good byes. We said those things you say after you’ve been together for 20 years.
Howard Storm in HospitalShe finally sat down because she knew it was over, and I knew.  It was so hard looking at her crying like that, so I closed my eyes and just let go.  I went unconscious.  I was probably unconscious for only a short while, a few minutes probably. 
Then I was conscious again.  I opened my eyes and looked and I was standing up next to my bed.  I knew exactly where I was, and what the situation was, there was no confusion in my mind.  I felt alive, more real than I’ve ever felt in my life.  People asked me, “were you a ghost?” I was just the opposite, I was very alive.
As I am looking around the room, I notice that there is something underneath the sheet on the bed, a body.  So I bent over the bed to look at the face and it looked like me.  But that wasn’t possible, I’m alive, I’m great, I’m more than alive.  So I tried to talk to my wife, but she couldn’t hear me or see me.  I thought that she was just ignoring me.  So I got very angry at her, for ignoring me.
So I’m screaming and yelling at her, “Why is there this body in bed that looks like me? How did it get there?” I had a sneaking suspicion that the body was me, but that was too scary to think about.  So I’m getting really agitated and upset, because this is all too weird.  This can’t be happening, it’s impossible; I got a hospital gown on, and everything is very real. 
I hear people calling for me outside the room, speaking in soft gentle voices.  “Howard, you need to come with us now.  Come quickly, come out here.”  So I went to the doorway of the room.  There are people outside in the hallway.  The hallway is dank, it’s grey, not light or dark, it’s just grey.  All these men and women dressed in grey, in what might be considered hospital uniforms.  I asked them if they were from the doctors to take me to the operation room.  I told them all about my situation and how I have been waiting.  They keep saying, “We know, we know, we understand.  Howard come quickly, come with us, we’ve been waiting for you.
people in hallI left the room which was really clear and bright, and I went into the hallway which was dank and hazy.  I followed these people; we had a very long journey.  There is no time, and when I make a reference to time, it’s just an illusion because there was no time in this place.  But this place, if I was to recreate it, I would have to walk from Nashville to Louisville (175 miles, 281 km) to recreate the walk with these people. 
walking in hallAs we walked they stayed around me, kept moving me on, and it kept getting darker and darker.  They were becoming more and more openly hostile to me.  At first they were syrupy sweet to get me to go with them.  Then when I was going with them they said things like, “hurry up, keep moving, shut-up, stop asking questions” It got more ugly.
So we get into complete darkness and I’m absolutely terrified.  These people are very hostile and I don’t know where I am.  I said, “I’m not going with you any further.” They said, “You’re almost there.” We started to fight and I was trying to get away from them.  They were pushing and pulling at me.  There were now a lot of them.  Originally it had been a handful, now with the darkness it could have Howard Storm in Darknessbeen 100s or 1000s, I didn’t know. 
people hurting Howard StormThey were playing with me.  They could have destroyed me if they wanted to, but they didn’t want to.  They wanted to inflict pain on me, because they derived satisfaction out of the pain that I experienced.  It’s really hard for me to talk about, and I won’t tell you much about it; it gets too ugly.  Initially they were tearing with their fingernails, scratching, gouging, ripping, and biting.  I was trying to defend myself, trying to fight them off and get away from them but it was like being in a bee hive, there were hundreds all over me.
Soon I was lying on the ground; all ripped up with pain everywhere, inside and outside.  Even harder to bear the physical pain was the emotional pain, with utter degradation.  I never once felt that it was unjust or wrong.
I heard my voice, not someone’s voice or the voice of God, it was my voice, but I didn’t speak it.  Maybe it was my conscious, I don’t know, but I distinctly heard it say, “Pray to God!” So I thought to myself, “I don’t believe in God.” I was thinking, “even if I could pray, I don’t know how to pray anymore.
At that time, I haven’t prayed for about 23 years.  When I was a child, we said prayers in Sunday school and Church.  I was trying to remember them.  To me, praying was just reciting something that I learned.
The Lord is my Shepherd, give us this day our daily bread, my country tis’ of thee.  Wait, that’s not a prayer.  Yea thou I walk through the valley of the shadow of death, for score and seven years ago our forefathers…” I’m getting all mixed up, I can’t remember how to pray. 
Every time I would mention God to these people that hurt me, it was like throwing boiling water on them.  They would shriek, scream and yell.  They would use the worst profanity I had ever heard in this world.  They could not bear to be around me talking about God.  It was so painful for them to hear about God that they kept backing away.  So I had a sense that I could push them away by talking about God.  So I am trying to remember prayers, but I was getting confused and mixed up.
Eventually I realize that they are gone and I’m alone.  I was alone there for an eternity, what I mean was that I had no sense of time.  But I thought about my life, I though about what I had done, and what I hadn’t done.  I thought about this situation I was in.  The conclusion that I came to was this, my entire adult live was selfish, and my only god was myself.  I realized that there was something terribly wrong with my life, and that the people that attacked me were the same kind of people that I was.  They were not monsters, nor demons; they were people who had missed IT.  The point of being alive in this world, they had missed it, they had lived lives of selfishness and cruelty.  And now I was in a world where there was nothing else; nothing but selfishness and cruelty.  They were doomed to inflict that upon each other and themselves forever, without end.  And now I was a part of it.
Howard Storm all beat upThough I didn’t want to be there, it seemed like the right place for me to be.  I felt that this is what I deserver, because this is how I lived.  You can’t imaging how emotionally painful that was.  I’m lying there for time without end, thinking about my fate.
In the back of my mind comes up an image of myself as a child, sitting in a Sunday school class, singing Jesus Loves Me.  Jesus loves me, la la la, Jesus loves me, la la la.I could hear myself as a child singing it.  More important than anything else was that I could feel it in my heart.
There was a time in my life when I was young and innocent and I believed in something good, I believed in someone other that myself.  I believed in someone who was all good, all powerful, Jesus appears to Howard Stormwho really really cared about me, and I wanted that back.  That which I had lost, I had thrown away, I betrayed, I wanted that back.  I didn’t know Jesus, but I wanted to know Jesus.  I didn’t know His love, but I wanted to know His love.  I didn’t know if He was real, but I wanted Him to be real.  There was a time in my life where I did believe in something, and I wanted to trust that it was true. 
So I call up into the darkness, “Jesus, please save me!” and He came.   First there was a tiny little spec of light in the darkness, vary rapidly it got brighter.  The light became so bring that in the physical world it would have consumed me.  It would have fried me to a crisp.  But it was not hot or dangerous there.  He was in this light and he reached down and gently started to pick me up.
In His light I could see that I was all gory, filthy and had wounds all over.  I looked like road kill.  He was gently putting His hands underneath me and tenderly picking me up.  As He was touching me, all the wounds, pain and dirt just goes away.  It just evaporated away, and I was whole and healed.  And inside, just filled with His love.  I wish I could explain it.  It’s frustrating not being able to tell people about it because it was the best thing that ever happened to me in my life, it was everything.  It was the ALL of life to know that love, and I just can't reveal that to you. 
So He’s holding me, embracing me, rubbing my back, like a father would his son, like a mother would her daughter, just gently rubbing my back.  I am balling like a baby out of happiness; from being lost and now found, being dead and now brought back to life.  He’s carrying me out of there, and we just flew out.
We were moving towards a world of light, and I began to have thoughts of tremendous shame.  I’ve been so bad, I thought of myself as dirt, garbage and filth.  I thought to myself, “He’s made a mistake, I don’t belong here, He doesn’t want me.” How could He care about me, why me, I’m bad.
Then we stopped, we weren’t in hell, we weren’t in Heaven, we were in-between.  He said, “We don’t make mistakes, you belong here.” We began to converse and He was telling me things. 
Review of Howard Storm's lifeHe brought over some angels who went over my life from beginning to end.  They showed me what I had done right and what I had done wrong.  And it was really simple.  When I had been a loving kind person, considerate of other people, it had made the angels happy, it had made Jesus happy, and they let me know that it made God happy.  When I had been selfish and manipulative it made the angels unhappy, it made Jesus unhappy, and they let me know it made God unhappy.  What they were trying to convey to me, in a nutshell, was that my whole purpose of my existence was to love God and love my neighbor as myself.  That is why I had been created, that is what I was in this world to do and to learn.  But I failed.
HeavenThey told me that I needed to come back to this world, and I got really upset because I wanted to go to Heaven.  What they told me about Heaven was that it was the most fun, most interesting, and most wonderful place.  Everyone would want to go to Heaven and I wanted to get there.  They said that I was NOT ready, that I wasn’t fit, it wasn’t my time to go to Heaven.  It was my time to come back to this world and try and live the way that God wanted me to live, the way He created me to live.
I told Jesus and the angels that I couldn’t live in this world without them.  I said that my heart would break if they sent me back to this world.  They’d be there and I would be here.  They said to me, “You don’t get it? What is the matter? We are showing you all this.  We’ve always been there.  We’ve been with you all this time.  And you’ve never been alone down there.
I said, “You’ve got to let me know that you are around once in a while.”  So they said if I prayed and confess my sins to God, if I give what I had to God, meaning to give my worries, cares, hopes, and my dreams, just give it all up to God, then there would be times when I would know in my heart that they are there.  Not necessarily seeing them, but I would feel the love like I felt then.  I told them that if they will assure me that there are times when I can know that love, then I could live in this world.  They said they would do that, then they send me back. 
After the experience, the nurse who’d said that they couldn’t find a doctor, she ran back to the room and said that a doctor has arrived.  at the hospital which is like this is pretty miraculous stuff because this is like around 9 or 9:30 at the night.  She said “the doctor has arrived at the hospital and we are going to do surgery on you right away.” And some … people came in and they through my wife out of the room.  It is very disturbing because I was trying to tell them I wanted to tell my wife what had happened to me.  So when I pass my wife on the hall on the path to the surgery, I said everything is going to be great.  And she just started thalling(?) …, that is like a dying man.  Strange thing about this experience is the memory hasn’t dull at all.  It is real tense and I don’t know it stays tense.  I believe one of the reasons that God gives me this experience is that I would have the opportunity to share it with someone.  I don’t know who and I never know who.  But I would have the opportunity to share with somebody so it could be a help to them. 

=== Street Interviews ===
(John 14:6)
I am the Way the Truth and the Life, no man comes to the Father but by Me.
[Announcer]
A random survey reveals that many people do not believe in a true Heaven and Hell.  Many of those who do believe these places exists, have different ideas on how a person gets to one place or the other.
Interview with a random person on the street
[Random Person on Street #1 (Man)]
I don’t believe there is a Hell.  I do believe there is a Heaven.  Somehow there has to be more to this existence than just a short period of time on the Earth, there’s got to be something following it.

Interview with a random person on the street
[Random Person on Street #2 (Man)]
I believe that everyone will pay for what they do in life.  I don’t necessarily believe in what the Bible says about Hell being a fiery inferno, I believe Hell is just your worst fears and everything that can be evil in your own perception, you pay for - for eternity.  And Heaven is just where you live the rest of your life in peace as long as you love God and live for God and live by His Word.
 

Interview with a random person on the street
[Random Person on Street #3 (Woman)]
I do believe there is a Heaven, definitely there is a Heaven.  I’m not sure so much about the Hell.  How do you explain Hell.  However, Heaven Yes.

Interview with a random person on the street
[Random Person on Street #4 (Man)]
I don’t think its necessary that you attend church to go to Heaven, or that you believe in the bible, but just live a good life.  Hell is reserved for just a few really bad people, maybe somebody who might commit murder intentionally.  Murder is probably the only thing that you would wind up in Hell for. 

Interview with a random person on the street
[Random Person on Street #5 (Woman)]
I’m not really sure what would lead you to Hell, or why you would go to Heaven.  I wouldn’t know.

[Random Person on Street #6 (Man)]
I think there is not really a Heaven or Hell, just an afterlife.  I don't know exactly what it is.  I not sure what there is, but I think there is some sort of middle, or limbo, or purgatory where everybody goes.  Its neither really comfortable or really traumatic.

Interview with a random person on the street
[Random Person on Street #7 (Woman)]
I believe that everyone in their own mind thinks of a Heaven and a Hell.  Heaven is what makes them happiest, what they are looking forward to in the future, and what they believe by “their own belief”, whether it be God or some other deity or entity, that Heaven does exist.  And that is what they work for in life.  My daughter is a proclaimed atheist, but somewhere in the back of her mind, she knows there is something that she wants out of the final life time.  And to me that is all that is required, a deity is not required. 

Interview with a random person on the street
[Random Person on Street #8 (Woman)]
I believe in my own kind of belief which is more of a metaphysical belief.  I believe however you feel on Earth, how you view Heaven, what it is, it’s your own conception.  So it becomes that way when you die.  So if you believe that there is a god source in you, and that you are a good person, and you’re a happy person, that is what happens to you after you die.  But I don’t believe that you’re penalized, and you go to some place full of fire, because you didn't live your life the way organized religion thinks you should. 
[End of Interviews]

Dr. Rawlings[Dr.  Rawlings]
Many people are trying to dilute the message of hell and heaven saying that neither of these places exists.  Why not eat, drink and be merry?  If there is no accountability, then there is no sin.  And if there is no sin, Christ died in vain.  And if Christ died in vain, what do we need God for? This is the new philosophy of New Age, that there is no hell.  It is a hope of most people that there is no hell. 
Volunteers are going into hospitals, to visit our loved ones, with the New Age message.  It is called the religion of the ending years, the religion of near death experiences.  “Look, I went to heaven”, they tell the patient that is dying, “I saw the light and I came back.  All is well.  There is no accountability, there is no hell.  Heaven’s gates are open wide for everyone who dies.  Look at me.  I am an atheist and I am here.  You don’t have to worry.  Death is nothing to be feared.  I am going to stay with you.  Your family is too afraid to stay with you while you are dying, but I'm not.  Let me hold your hand.  Let me tell you about this glorious thing that are coming to get you, this beautiful light at the end of the tunnel where there is no worry, no loss, only gain.  You are acceptable as you are.  There is no heaven, there is no hell.  It is eternity for all."  This is the new age philosophy called the Omega Faith, where everybody goes to heaven.  There is a group of these people coming into our hospitals, consulting the dying, instead of our church groups consulting the dying. 
Ministry to the dying is the most neglected ministry of all.  Nobody wants it.  Everybody is afraid of a dying patient.  And the dying patient wants to know what dying is all about.  Does it hurt?  Is there a life after death?  Is there a Heaven and a Hell?  How can I make sure that I am going to get to heaven? And you can tell them it is a free gift.  You can tell them how to get it.  But if we don’t defend ourselves against the Omega faith, who are infiltrating the hospitals now with a faith that is deadly, then we are going to lose our own Christianity.  The patient will die naked without any faith at all.

=== Dr. Donald Whitaker ===
Dr. Donald WhitakerOur next case is of Dr. Whitaker who is still in practice, but was atheist at the time of the incident.  He had nothing to do with God, but there was a situation that changed his life.  We’d like you to experience it with him.
Dr. Donald Whitaker at party
[Dr.  Donald Whitaker]
It was February of 1975, at that time I was an alcoholic out of control.  I was also using recreational drugs.  But primarily, alcohol was my drug of choice.  I was totally out of control.  I had a lot of friends in the entertainment business; Ringo Star and a bunch of other people.

They were having a TV special on the west coast. Hoight (a friend) had called me and asked me if I would like to go.  I told him that I would love to, because I knew there was going to be a lot of booze, and partying.  While they were doing their special, I was doing my thing.
After about three or four days out there, I became ill.  I had severe pain in my abdomen.  I flew into Oklahoma city, called a senator friend of mine, and asked him to send a car for me because I was sick.  They sent a car and took me home.  And I checked into Whatley hospital in Texarkana, Texax in February of 1975.  I checked in with electrolytes, which means that the chemicals in my body were so far out of balance that they had to give me IVs to build me up. 
Dr. Donald Whitaker on chairInjection NeedlesAt that time of my life, I was atheist.  I was hard core atheist and was living for myself.   Atheists are self centered, they live for themselves.  This is where I found myself in 1975 in my hospital. 
After 3 days they operated me.  Later, I found myself in the intensive care on a respirator, which means it was breathing for me.  I couldn’t speak.  I’ve been there in a comma.  I heard these people talking about how sick I was and how I was going to die and how I wouldn’t get out of the hospital.  At that time my hair was very long because I just wore my hair long.  And I heard one guy say, “My, his hair is long.” And another guy said, “Not nearly as long as it is going be before he gets out of here.” And the third voice said, “He's not going to get out of here.  He's going to die.
And after 3 days, I could breath on my own.  I remember my doctor, my surgeon, Dr. Donald Dunkon said to me, “Don, if you have anything to get right, if you have anything to get signed, you get it done because we are not sure how long you have.
I knew I had a condition which is that was called Acute hemorrhagic narcotic pancreatitis.  You don’t live with this disease.  You could live with pancreatitis.  You could even live with Acute pancreatitis, but you do not live with Acute hemorrhagic narcotic pancreatitis.  Dunkon had told my two sons that I would be dead before morning.  They didn’t Dr. Donald Whitakerexpect me to survive. 
I was laying there, a professed atheist.  I didn’t believe in God.  I believed in the power of the universe because I’ve seen it.  As a physician, I’ve dealt with life and death.  I believed in something, but don’t talk me about God.  And surely don’t talk to me about resurrection, virgin birth or these type of things because I am in research and science.  The Majority of PHDs in research and science don’t believe in God.  They do not believe a supreme being.  They are beginning to believe there is an order in the universe because the further along we go, we see the order. 
It is very easy to be an atheist when you are successful.  You have worked your way from Oklahoma welfare to be one of the most powerful men in your part of the country – one of the most powerful men in the state of Oklahoma, politically.  It is very easy to be an atheist when you have done all of that.  A man could sit back and say "I don’t need God.  What is God?"
But it is very difficult to be an atheist when you are lying on the death bed, because you began thinking "what if these people are right?"  There had been one man named Ron Short, that stood between me and the gates of hell.  One man had witnessed to me about the love of Jesus for 5 years, before I became ill.  I would debate him and I liked him, because he did what he said he was going to do.  He was the only one that I saw that profess to be Christian and lived what he said he was going to do.  I really respected him.  I didn’t believe what he said but I respected him. 
When I was lying on my death bed and knowing that I was going to die, guess who I thought about?  I thought, "what if Ron is right? What if there is a Heaven and a Hell."  Almost immediately the most pressing thought in my mind is how do I get saved.  What is saved? How do I get saved?
So I sent people out to get Ron Short.  I wanted him to come down because I wanted him to do whatever he had to do.  I had no idea how a man hanging on a tree in Israel 2000 years ago could save me.  What is that to me?  But I knew he had something that I had to have.  That night Ron wasn’t home, he was in Alabama.  So I had people go and get Ron. 
That night was the longest night that I’ve had in my entire life, before or since.  As I am laying there in bed, I had begun to fade away into darkness.   It was so, so dark.  It was like the darkness just penetrated into your very being.  I can tell you that I left my body because I remember coming back into my body.  I don’t know where I was out of my body. 
There are people that talk about a light, or floating above, a feeling of warmth or love.  I didn’t feel any of that.  I felt none of that.  I felt untold terror, untold terror.  I knew that if I went all the way, if I slipped all the way, I would never get back.  In my being of beings I knew that.  So I fought all night long. 
Grabing mattressThey told me later on that I not only pull the mattress cover off the mattress, I put the mattress upon me.  I had to stay, I had to wait till Ron got there.  Whatever he had to do, I had to wait. 
But again when I would leave my body, I would be going down into deep dark terror.  My skin began to get cold.  Not the kind of cold you feel when you walk out in the air, no, this was bone chilling cold.  And I could feel the coldness began to come up Cold comming up legsmy legs. 
Again I would begin to leave my body and would be in the darkness, in that void.  I remember one time entering back my body, I felt my body thud, my physical body thud.  Believe me, believe me, that was the most horrifying terrifying experience that I had ever encountered. 
I fought all night long.  The next morning around 9:30 or 10 o’clock, Ron came in.  He said, “Dr.  Whitaker, what do they say are your chances?”  I said, “Ron, they tell me I have none.” He said, “Now is the time.” I said, “You're right.”
Before, I had cursed him, I had spit on him, but now it was the time because I had to have whatever he had.  I had a short period of time left on earth and I didn’t have any idea when I might make that trip and go all the way. 
sinner's prayerAt that time Ron simply led me in a sinner’s pray.  I had no idea what a sinner’s prayer was, but I trusted Ron.  He led me through the sinner’s prayer and told me that Jesus had died for my sins.  He had died for the sins of the world.  I didn’t quite understand that.  He showed me in the word of God where that was written. 
You have to understand that I am a man of books.  I’ve spent big part of my life, 25 or 26 years of life in books, all types of scientific books.  I have degrees in Chemistry, all the way up to medicine doctor to practical medicine. 
He told me and I believed him because it said so in this book.  It was a new book to me, it was called Bible.  I had Ron lead me, and I said the sinner’s prayer.  I can tell you one thing, there was a peace that came over me like I have never known. 
bottles of beerI’ve searched for that peace in the bottles, alcohol, needles, drugs, and women.  I’ve searched for it in all type of places.  But there was no peace in my life.  But once I accepted Jesus Christ as my Lord and savior, I was no longer afraid.  I still believed I was going to die because I knew the condition I had, and you don’t survive it.  I knew that, I am a physician.  I knew what I had you did not survive. 
Ron showed me in the word of God where it says, “These signs shall follow those that believe.  They shall lay hands on the sick and they shall recover.” (Mark 16:18) I walk around on planet earth this day, taking no insulin, taking no enzymes, eating whatsoever I want, and everyday God produces in my body the correct material for me to function without having to take medication. 
Dr. Donald WhitakerWhen you see blind eyes open, you see the cripples walk, you see the leprosy cleansed, and you see them with your own eyes, then it doesn’t take a rocket science to figure out that Bible is true.
 





=== Dr. George Rodonaia ===
[Dr.  Rawlings]
How can the various stages of Hell have different aspects to people? The Bible doesn’t say it is all fire.  If you look at different places, it says
·         “cast out”
·         “separate from God”
·         “total darkness”
·          “with worms that cannot die”
Most of it is flame.  Seeing the angels of light can be deceptive in some cases.  For instance, 2 Corinthians 11:14, it tells us that even Satan can change himself into the angel of light and deceive many.  Which light did these people see at the end of the tunnel, especially if it was someone that didn’t think they deserve to be in Heaven? Those things do occur. 
Strangely enough the opposite does not occur.  Those that saw themselves in Hell knew exactly where they belong.  And there was no question why they were put there.  In fact, Christ talked about this Himself in Mathew 25.  Jesus also said that if Satan cast out Satan, how would his kingdom stand? (Mathew 12:26)  Meaning, why would Satan show people that there is a Hell, that would work against his kingdom and his lies.  No, impossible.  As an angel of light, Satan can deceive many.  But this variation that they see in Hell, whether it is total darkness or whether it is fire, both are places where they never want to visit again. 
This brings us to the case of Dr. George Rodonaia, a young Russian fellow, very intelligent.  He came with a Ph.D and an M.D, but had trouble with KGB.  He couldn’t get out of Russia.  In fact when he tried to get out of Russia, he was purposely run down by a KGB agent, who drove on the sidewalk in order to run him over.  This is how he died Dr. George RodonaiaDr. George Rodonaia youngand where his story begins.
[Dr.  George Rodonaia]
As a psychiatrist and a neuropathologist, for me God never existed.  I never believed in God.  I never believed in the Bible.  I never thought about God, the Bible or divinity.  In 1976, I was 20 years old, I was already a doctor working in Georgia, Russia. 
I met a lady from Texas.  I tried to leave the country many times.  But I didn’t have much help.  This lady tried to help me and I got in big trouble with the KGB.  I worked on “idenotintriphosper”, it is a neuron transmitter in our brain.  With the conjunction of "Oxitocin", I discovered several things. 
I was an important scientist and KGB didn’t want me to go so they decided to kill me.  That is how I got into another dimension of my life. 
I was standing on the sidewalk, ready to depart to NY, waiting for cab, when a car on the sidewalk hit me.  I flew in the air 10 meters, and then the car ran over me.  My friends and relative took me to the hospital.  The hospital staff, friends of mine and 2 other professors declared me dead.  On Friday night, they put me in the morgue, in the freezer. 
Dr. George Rodonaia ran overThree days later, they took me out.  So on Monday morning they began my autopsy.  These 3 days of being out of my body, seeing everything that was happening around, seeing myself, my body, seeing my birth, my parents, my wife, my child, and my friends.  I saw their thoughts.  I saw what they were thinking, how their thoughts move from one dimension to another. 
It was incredible experience.  I was in darkness, total darkness.  The darkness was pressing.  This darkness existed not beyond, but it existed within.  What I want say is that the darkness was pressing.  And I was in the middle of this fear and I did not understand why and how this darkness existed.  Where was I?. 
I understood that I didn’t have a body because I didn’t feel it.  Then I saw a light.  I went through a little hole into that light.  But the light was so powerful, so burning.  You cannot compare it to anything.  No words can explain it.  The light was so burning, going through flesh.  I didn’t have a body.  That was the most interesting part. 
And I was scared of the light, I wanted to go into the shade to save myself from this light.  What is that light?  I don’t know.  It can be called the light of God, it can be called the light of Life.  But light is light and darkness is darkness.  As a psychiatrist and scientist, I did not think about that.  The only thing was that I was in light. 
Dr. George Rodonaia youngWe were not raised in God’s way.  You know about the Soviet Union, we didn’t go to church.  There were people who went.  But they were some kind of limited people.  We thought they didn’t know any better that there was no God.  But those 3 days of being in the morgue, the freezer, changed all my life. 
Dr. George Rodonaia at the morgueThey begin the autopsy, and started to cut open my chest.  That was the first incision, then I opened my eyes, and they saw that my pupils were convulsing, getting smaller.  When they saw that my eyes were reacting to light they knew I was alive.  They put me back to the hospital and began resuscitation. 
My lungs were collapsed for a long time so I was put on a respirator for 90 days.  My recover did not happened fast, but the life did came back.  They discovered was that the life was there during the autopsy, but not all my organs were working.  It was hard work for nine month being in recovery, it didn’t happen immediately, but the life was there.  But the doctors had to help me survive and help me to regenerate my health and organs. 
When I came back to life, a lot of different experiences had happened.  I experienced a lot of rejection, a lot of fighting with others.  But nothing could change my mind, I knew my destination, I knew my way.  I decided to leave the country, and this lady from Longview Texas helped me move to the United States.  We went to Texas and continue to live there today.
Sometimes things are beyond our grasps.  But I don’t try to explain it all because I know and I believe that God knows better.  I believe that I don’t need to explain everything.  But why it was shown to me and why was I chosen?   It was a question that I honestly didn’t care about.  I care that I deeply believe in a God of love and God is love.  And I believe God created everything for betterness and for an incredible future if we don’t ruin it.
 


CPR picture[Dr.  Rawlings]
And now I want to show you CPR.  We said we’d show you how to start somebody’s heart up again and to start their breathing up again.  You do it with your bare hands.  So first you see if the person is alright.  Maybe she is intoxicated.  Will she will talk to you? Maybe she just bumped her head.  You immediately look, feel and listen if she is breathing.  Is the chest is moving, nostrils moving?  Is any air exchanges felt?  If not, immediately goto the airway, forget the heart, only work on that after the airway.  CPR Picture 2
You unobstructed the airway by lifting the chin, pointing to the ceiling.  This straightens out the windpipe.  Then you close her nostrils so your air in her mouth will inflate her lungs.  You give her 2 quick breaths.  And see if her diaphragm rises.  And if it rises, it is an unobstructed airway.  But if it is still obstructed, you go back to give 2 more breaths and reach down into here mouth to unobstructed the airway.  If her heart is not breathing, you determine that by not listening with your ear but feeling on the carotid artery pulse on either side of the Adam’s apples, bom, bom, bom. 
If you do not feel that, then after the 2 quick breaths, 2 inches above the xiphoid, either part of the breastbone, diaphragm, lower part of the breast bone, you plant the heal of one hand, supplemented with the heel of the other.  Push your weight down on her. 
This is the critical moment in life.  If you can catch people before they die and give them the option of accepting Jesus Christ as their personal savior, then they can’t loose whether they live or die.  That is with them forever.  And when they die like this, we don’t have to question where they went.  And the preacher will be right when he says they are in Heaven.  She went to heaven to be with God. 
But for those who die on the street, where do they go? It is the minister’s fault, your fault and mine because we did not approach them with the Gospel which is the free gift to anyone that wants it. 

=== Conclusion ===
All of these Hell experiences had one thing in common.  Surprise! They didn’t know there was such a place.  Will you find it as surprise? Will I find it as surprise? Or will we be prepared?  Hell is nothing new.  It has always been there.  These people just discovered that when they died and came back.  They want to tell you about it.
[Dr.  Rodonaia]
And I experienced what is love, what is faith, what is hope.  And all these 3 are wisdom of God.
[Dr.  Whitaker]
The prayer of faith, the prayer of salvation, is not some little prayer, is the only way to the Father.  And that is the only way.  Now all of these people in the New Age movement that believe that everybody is going to heaven, that you can worship anything, you can worship a flee, you can squeeze a tree, you can worship a crystal, you can worship a star.  I got news for them, they are not going unless they accept Jesus Christ as their Lord and Savior, because the word says the only way to the Father is through the Son.
[Ronal Reagan]
Don’t go to hell.  Please.  I beg you.  Don’t go to hell.  It was not prepared for you.
[Charles McKay]
If you are saved, you are saved, if you have accepted Jesus.
[Howard Storm]
Do not put it off for tomorrow, for any reason, because you might die this very moment.
[Charles McKay]
It is the best thing that ever happened in my life.
[Howard Storm]
You can feel Jesus’ presence with you, today, in this place in this time.
[Ronal Reagan]
It is not God’s will that any people should perish.  I didn’t know this.  I didn’t know the love of God.  All I knew was hatred, violence, and abuse.  But there is one that cares.  His name is Jesus. 
[Whitaker]
And who is the Son? He is the word made flesh and came and dwell amongst men.  The word is the way to the Father. 
[Howard Storm]
Make a choice.  Not tomorrow, not tonight.  Make a choice right now.  Are you going to give your heart over to Jesus or not?
[Charles McKay]
If you want to have a life after this one, you better accept Jesus.
(Revelations 3:20)
Behold, I stand at the door and knock; if anyone hears My voice and opens the door, I will come in to him and will dine with him, and he with Me.

[Dr.  Rawlings]
Friends, you’ve heard the evidence.  This is the closest you are going to get to making a decision.  Is there a life after death? Are these people that were presented to you turning their whole lives upside down for nothing, or because there IS a heaven and a hell?
Have you made the decision in your own life?  Do you know if you died tonight that you will be with God in Heaven tomorrow?  And remember the quote from Revelations 3:20, Behold I stand at the door and knock.  God is knocking right now.  If you hear me, open the door and I will come in.  I WILL come in, not might come in, and fellowship with you and you with me.  It means you come dirty, just like you are.  He will fellowship with you and tell you how to clean up your life.  And meanwhile in exchange, give you this free gift of eternal life with Jesus Christ because you are one of His.  You are now a Christian.
(John 11:25-26)
I am the resurrection and the life; he who believes in Me shall live even if he dies, and everyone who lives and believes in Me shall never die. Do you believe this?
the End
To Hell and Back
by Dr.  Rawlings Documentary 








Ufunuo wa Mbinguni na Kuzimu Kwa vijana 7 wa Kikolombia
Kwa pamoja kama kundi, vijana hawa 7 wa Kikolombia walichukuliwa na Yesu Kristo na kuonyeshwa  Mbinguni na Kuzimu. Sikiliza masimulizi yao juu ya utukufu wa Mbinguni na ubaya wa Kuzimu.
Imetafsiriwa na Mch.Peter John Mlay. www.spiritlessons.com
Ufunuo wa Kuzimu

--- (Ushuhuda wa Kwanza 1) ---
Akasema palikuwa na mtu mmoja tajiri, aliye vaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula siku zote kwa hanasa na masikini mmoja jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, anavidonda  vingi, naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyo anaguka kwenye meza ya yule tajiri,hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.

Ikawa yule masikini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. Basi kule Kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa Mbali, na Lazaro kifuani mwake. Akalia akasema Ee baba Ibrahimu, nihurumie, uumtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu. Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe una umizwa. Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi  kumewekwa shimo kubwa,ili wale watakao kutoka huku, kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.

Bibilia,neno la Mungu lipo wazi sana juu ya somo la Mbinguni na Kuzimu. Kwenye eneo hili ambalo tumelisoma, Bwana anatuelezea juu ya maeneo mawili: Mbinguni na Kuzimu, hukumu au wokovu. Hakuna eneo nje ya haya. Hakuna Pagatori. Hakuna Limbo,eneo ambalo eti watu hufikia kwa muda halafu baadaye waende Mbinguni; Bibilia ipo wazi sana juu ya hili.

(Aprili 11 1995) 
Mungu alitupa ufunuo a mbao ungebadili maisha yetu yote. Ni mara tuu tulikuwa tumeanza kufahamu juu ya Mungu na juu ya neno lake.Sisi ni vijana saba ambao Munguametupa upendeleo na jukumu kubwa la kuushirikisha ulimwengu ushuhuda huu.

Kila kitu kilianza majira kama ya saa nne asubuhi 4.00  Tulikuwa tunaomba na tulikuwa tuna jiandaa kwenda pikiniki baadaye siku ile . Ghafla majira ya saa nne 4.00 asubuhi nguvu kuu ya mwanga mweupe  uliangaza kupitia dirisha mojawapo. Wakati mwanga ulipotokea, sisi sote kwa haraka tulianza kuongea kwa lugha mpya na tulibatizwa na Roho Mtakatifu .

Kwenye muda ule, sisis sote tulishangazwa na kuogopeshwa na kile tulicho kiona. Mwanga ule wa utukufu ulikuwa ukiimulika chumba chote. Mwanha huu ulikuwa na nguvu kuliko mwanga wa jua. Katikakati ya ule mwanga, tuliwaona malaika wengi wakiwa wamevaa mavazi meupe. Malaika hawa walikuwa ni wazuri sana, warefu, na wenye mvuto wa sura.

Kari kati ya Malaika wale tuliona kitu cha kutushangaza --umbo la mwanadamu. Umbo hili lilikuw ni  la kiumbe maalumu sana, mtu aliye kuwa amevaa nguo nyeupe sana  Nywele zake ni kama nyuzi za dhahabu. Hatukuweza kuuona uso wake kwa sababu ulikuwa unang,aa sana. Hata hivyo tuliweza kuuona mshipi wa dhahabu ukiwa matiti mwake, na maandishi ya dhahabu yaliyosema: "Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana ."  Alikuwa amevaa viatu vya dhahabu halisi miguuni mwake, na uzuri wake haukuwa na mfano.Tulipo uona uwepo wa mtu huyu  wote kwa pamoja tulisujudu kwa kupiga magoti. 

Baadaye tulianza kuisikia sauti yake.Ilikuwa ni ya kipekee na ya ajabu sana;kila neno liliingia miyoyonimwetu kama vile upanga ukatao kuwili; kama vile ilivyo andikwa katika neno la Mungu(Waebrania 4:12).  Alizungumza nasi kwa wepes lakini kwa maneno yenye nguvu sana. Tulisikia sauti yake ikisema nasi kuwa, "Watoto wangu wadogo, msiogope, mimi ni Yesu wa Nazarethi, na nimewatembelea kuwaonyesha mambo ya ajabu ili muweze kuyaonyesha na kuyaelezea kwenye, Miji, Mataifa, majiji, makanisa na kila mahali. Pale nitakapo waambia mwende, mtaenda, na pale nitakapo waambia msiende msiende."

Bibilia takatifu, neno la Mungu, linasema katika Yoeli 2:28 "Hata itakuwa baaada ya hayo ya kwamba nitamimina Roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu waume na wake watatabiri ,wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono."  Huu ni wakati ambao Bwana anauandaa kwa kila mmoja. 

Baadaye kitu kigeni kilitokea, mwamba ulitokea katikati ya kile chumba, na Bwana ambaye tulikuwa pamoja naye, alitufanya kuingia ndani ya ule mwamba.Mwamba ule ulikuwa na urefu wa karibu inchi saba hivi juu ya sakafu, na shimo kubwa lilitokea pale sakafuni.Lilikuwa ni kubwa,jeusi,mwanya au uwazi wa kutisha.Kwa haraka tuliweza kuwa juu ya ule mwamba na kuzama chini kupitia ule uwazi sakafuni.Ilikuwa ni giza nailituongoza hadi katikati ya dunia.

Wakati tulipo kuwa ndani ya giza lile baya, tuliogopa sana!tulitishika sana kiasi kwamba tulimwambia Bwana, "Bwana hatutaki kwenda eneo lile!  Usitupeleke eneo lile Bwana!  Tutoe mbali na eneo hili Bwana!"  Bwana alitujibu kwa sauti nzuri na ya huruma, "Uzoefu huu ni wa muhimu sana ili muweze kuuona na kuwaelezea wengine."

Tulikuwa kwenye tanuru lenye sura kama ya pembe, na tulizubaa kwa kuangalia vivuli, mapepo na maumbo yalikuwa yakihama toka eneo moja kwenda jingine. Tuliendelea kwenda chini na chini zaidi.Ndani ya sekunde chache tulikuwa tukijisikia watupu na uoga mwingi.

Baadaye tulifika kwenye baadhi ya mapango makubwa;kwenye malango ya kutisha, kama vile njia panda.  Hatukutaka kuingia mle ndani.Tuligundua harufu ya kutisha na joto lilotutetemesha.Mara tulipoingia tuliona vitu vya ajabu na maumbo ya kutisha. Eneo lote lilikuwa limezungukwa na miali ya moto;na katikati ya ile mioto, kulikuwepo miili ya watu maelfu. Walikuwa wakiteseka katika mateso makuu.Eneo lilikuwa ni la kuogopesha sana, hatukutaka kuona kile tulichokuwa tunaonyeshwa.

Eneo hili lilikuwa limegawanyika katika maeneo  tofauti ya mateso na maumivu.Moja ya eneo la kwanza ambalo Bwana alituruhusu kuliona ni  "Bonde la sufuria la kupikia"  kama tulivyoliita.  Kulikuwa na masufuria mamilioni.Masufuria haya yalikuwa yamelazwa usawa wa aridhi; kila moja lilikuwa linatokota uji wa moto.Ndani ya kila moja ilikuwepo roho ya mtu aliyekuwa amekufa na kwenda kuzimu.

Mara tuu zile roho zilipo mwona Bwana, zilianza kupiga kelele na kulalamika, "Bwana, utuhurumie! Bwana nipe nafasi ya kutoka nje ya eneo hili!  Bwana, nitoe nje na nitauambia ulimwengu kwamba eneo hili ni la kwecli!"  Lakini Bwana hata hakuwatazama.  Walikuwepo mamilioni ya wanaume kwa wanawake na vujana eneo lile.  Pia tuliwaona watu wandoa ya jinsia moja na walevi kwenye mateso.Tuliwaona watu hawa wote wakipiga makelele kwa maumivu. 

Ilituogopesha kuona jinsi ambavyo miili yao ilikuwa imeharibiwa. Minyoo ilikuwa inaingia na kutoka kupitia kwenye mafuvu ya macho yao, ya midomo yao, na masikio; na ilikuwa ikijiingiza kwenye ngozi kuingia miilini mwao. Hii inatimiza neno la Mungu lililo andikwa kwenye kitabu cha Isaya 66:24 "Nao watatoka nje na kuitizama mizoga ya watu walioniasi; maana funza wao hawatakufa, wala moto wao hautazimika; nao watakuwa chukizo machoni pa wote wenye mwili."  Pia katika Marko 9:44,"Ambamo humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki."  Tulikuwa tumeogopeshwa na kile tulicho kuwa tunakiona. Tuliona miali ya moto kama ya urefu wa inchi 9 mpaka 12 hivi.  Ndani ya kila mwali wa moto kulikuwepo na roho ya mtu aliye kufa na kwenda kuzimu.

Bwana alituruhusu kumwona mtu ambaye alikuwepo ndani ya mojawapo ya masufuria yale ya moto. Alikuwa kichwa chini miguu juu na nyama za uso wake zilikuwa ziki anguka chini kwa vipande. Alibaki akimwangalia Bwana kwa makini; na baadaye alianza kupiga makelele na kuliitia jina la Yesu. Alisema, "Bwana nihurumie!  Bwana nipe nafasi! Bwana nitoe  nje ya eneo hili!"  Lakini Bwana Yesu hakutaka kumwangalia.Yesu alimgeuzia mgongo wake. Wakati Yesu alipo fanya hivyo, mtu yule alianza kulaani na kumtukana Bwana.  Mtu huyu ni  John Lennon, mjumbe wa shetani wa kundi la mziki la  "The Beatles."  John Lennon alikuwa ni mtu aliyefanya mizaha na kumtania Bwana wakati wa maisha yake.Alisema kuwa Ukristo ungekwenda kutokomea na Yesu Kristo angesahaulika na kila mmoja.Hata hivyo leo, mtu huyu yupo kuzimu na Yesu Kristo yuu hai!!  Ukristo pia hauja tokomea.

Tulipo anza kutembea kwenye ukingo wa eneo hili, roho zilikuwa zikinyoosha mikono yao kwetu na kutaka rehema.Walimwomba Yesu kuwaondoa ndani ya eneo lile, lakini Bwana hata hakuwaangalia.

Baadaye tulianza kwenda katika maeneo tofauti tofauti. Tulifika katika eneo lenye kutisha zaidi kuzimu,mahali ambapo mateso makubwa sana hufanyika; katikati ya kuzimu. Eneo lenye mchanganyiko mkubwa sana wa mateso;mateso ambayo mwanadamu yeyote hawezi kamwe kuyaelezea.  Watu pekee hapa ni wale tuu ambao walimjua Yesu na neno la Mungu. Walikuwepo wachungaji,wainjilisti,wamisionari na aina zote za watu ambao waliwahi kumkubali Yesu na kuujua ukweli;lakini waliishi maisha ya pande mbili. 

Walikuwepo pia wale waliorudi nyuma kiimanin; mateso yao yalikuwa ni makubwa mara elfu zaidi ya wengine.  Walikuwa wakipiga makelele na kuomba rehema kwa Bwana, lakini neno la Bwana linassema katika kitabu chaWaebrania 10:26-27, "Maana kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi; bali kuna kuitazamia hukumu kwenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao."

Roho zile zilikuwepo pale kwa sababu zilihubiri,zilifunga , ziliimba,na kuinua mikono yao kanisani lakini mitaani na majumbani walikuwwepo katika uasherati, uzinzi, uongo, unyanganyi.  Hatuwezi kumdanganya Mungu. Bibilia inasema kwake ambaye alipewa vingi, atadaiwa vingi.  (Luka 12:48

Mungu baadaye alituruhusu kuwaona wanawake wawili ambao walikuwa ni wakristo wakiwa duniani, lakini hawakuwahi kuishi maisha ya haki mbele za Bwana Mmoja akamwambia mwenzake, "Wewe masikini mlaaniwa! ni makosa yako kwamba nipo eneo hili! hukunihubiria Injili takatifu! na kwasababu hukuniambia ukweli, nipo sasa hapa kuzimu!" Walisema maneno haya katikati ya miali ya moto, na walichukiana kwasababu hakuna upendo,rehema wala kusameheana  kuzimu.

Kulikuwa na roho maelfu ya wale ambao waliwahi kulijua neno la Mungu, lakini maisha yao hayakuwa safi mbele ya uwepo mtakatifu wa Bwana. "Huwezi kucheza na Mungu wala na miali ya moto wa kuzimu!" Bwana alisema.  Pia alituambia, "Wana wangu, mateso yote duniani kwa pamoja sii kitu,SII KITU, kulinganisha na mateso yale mtu hupata katika eneo lile zuri la kuzimu."  Kama ni hatari kiasi hicho kwa yule anayeteseka kidogo kuzimu, ni mbaya kiasi gani basi kwa yule aliyeko katikati ya kuzimu ? ambao waliwahi kulijua neno la Bwana na kwenda mbali nalo. Baadaye Bwana alituambia kuwa wale wanao weza kucheza na moto duniani sii hivyo kuzimu hawawezi kamwe.

Tuliendelea kutembea maeneo tofauti tofauti na Bwana alituonyesha watu wa aina mbali mbali. Tuliweza kuona kuwa watu wote pale walikuwa na aina kama sita za mateso.  Kulikuwepo na roho zilizo teswa na mapepo kwa aina zote za adhabu. Aina nyingine ni ufahamu wao uliosema, "Kumbuka wakati walipo kuhubiria, kumbuka wakati ulipo sikia neno la Mungu, kumbuka walipo kuambia habari za kuzimu na ulicheka juu ya hilo !"  Ufahamu wao wenyewe uliwatesa; kama vile minyoo ile iliyopita juu ya miili yao, kama vile moto ule ulao ambao ni mkali mara elfu, elfu zaidi ya tunavyojua.Hii ni zawadi ambayo shetani anayo kwa wote wanao mtafuta na kumfuata.

Neno la Bwana linasema katika Ufunuo 21:8 "Bali waoga na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakao moto na kiberiti.Hii ndiyo mauti ya pili."

Baadaye Bwana alituonyesha mtu aliyeua watu sita. Watu wale sita walikuwa wamemzunguka, na walikuwa wakimpigia kelele wakisema, "Ni makosa yako kuwa tupo hapa wote, MAKOSA YAKO!"  Muuaji alijitahidi kufunika masikio yake kwasababu hakutaka kuwasikiliza, lakini hakuweza kuepuka kusikia kwani kule kuzimu fahau zako zinakuwa hai zaidi.

Roho mahali pale zilikuwa zikiteseka kwa kiu ya maji isiyo vumilika na kutoshelezwa kwa njia yeyote;Kama vile kwenye Bibilia habari za Lazaro na yule tajiri. (Luka 16:19) Tajiri kule kuzimu alitaka tuu tone la maji, yangemtosha. Neno la Bwana linasema katika  Isaya34:9, "Na vijito vyake vitageuzwa kuwa lami, na mavumbi yake yatageuzwa kuwa kiberiti, na aridhi yake itakuwa lami iwakayo."

Katika eneo lile,kila roho ilikuwa katikati ya moto. Watu huona mfano wamaji ya mto safi katikati ya moto na wanapo jaribu kuufikia, mito hiyo hugeuka kuwa moto.Huona pia miti yenye matunda ambayo hutoa maji, lakini wanapo jaribu kuchukua, huungua mikono yao na mapepo huwacheka.

Baadaye Mungu alituchukua baya zaidi ya maeneo mengine ambayo tumewahi kuyaona. Tuliona ziwa la moto na kemikali. Upande mmoja wa lile ziwa kulikuwepo na ziwa dogo zaidi. Ndani ya ziwa lile dogo, kulikuwepo naroho, milioni, milioni, zikilia na kuomba kwa Bwana kuwa rehemu. Walimwambia, "Bwana tafadhali! Tutoe nje ya eneo hili hata kwa muda kidogo! Tafadhali nipe nafsi ya kwenda nje!!!"  Hatahivyo, Bwana hakuweza kufanya chochote kwa sababu hukumu yao tayri ilisha pangwa.

Kati ya roho zile milioni na milioni, Bwana alituruhusu kumwangalia mtu mmoja ambaye mwili wake nusu ulikuwa umezama katika ziwa la moto.Bwana alituruhusu kuelewa na kuyafahamu mawazo yake.Jina la mtu huyu ni Marko.Tulishangaa na yale mtu huyu aliyojisemea mwenyewe katika mawazo yake.  Tulijifunza somo ndani yetu tulipo yasikia mawazo yake yafuatayo, "Ningetoa chochote kile kuwa katika nafasi yako sasa! Ningetoa kitu chochote ili kwenda duniani kwa dakika moja tuu. Singejali kama ningekuwa na hali mbaya, mgonjwa sana, ninayechukiwa sana, au mtu masikini kuliko wote duniani, ningetoa chochote kuweza kwenda duniani! kwa dakika moja tuu duniani."  Bwana Yesu alikuwa ameushika mkono wangu. Yesu aliyajibu mawazo ya Mariko kwa kusema, "Mariko, kwanini ungependa kurudi duniani hata kwa dakika moja?"  Kwa kulia na kwa sauti ya mateso, alimwambia Yesu, "Bwana!  nitatoa kitu chochote kuweza kurudi duniani tuu kwa ajili ya kutubu na kuokoka." 

Bwana aliposikia kile ambacho Mariko alisema, niliona damuikitoka katika majeraha ya Yesu na machozi yaliyajaza macho yake na alisema, "Mariko, umechelewa sana!  Minyoo imewekwa iwe kitanda chako na minyoo itakufunika." (Isaya 14:11) Wakati Bwana alipo mwambia hivyo, alizama kwenye ziwa lile mojakwa moja. Ni kwa huzuni kuwa roho zile zote hazina tena tumaini. Ni sisi tuu tuliopo duniani ambao tunayo nafasi ya kutubu leo na kwenda Mbinguni na Bwana wetu Yesu Kristo.

Nina kuacha sasa na dada yangu kuendeleza ushuhuda huu, asante.

--- (Ushuhuda wa pili 2, Lupe) ---

Mungu awbariki kaka zangu wapendwa.Tusome neno la Bwana kutoka Zaburi 18:9. "Aliziinamisha mbingu akashuka, kukawa na giza kuu chini ya miguu yake"  Wakati Bwana alipo ifikia mikono yangu, niliishika mikono yake tulianza kushuka chini kupitia tanuru lile.Tanuru lilikuwa linazidi kuwa giza na giza  kiasi kuwa sikuweza hata kuuona mkono wangu, ambao haukuwa umeushika mkono wa Bwana

Ghafla, tulikipita kitu fulani cheusi na chenye kutoa cheche; kilikuwa kikitoa sauti.Giza lilikuwa kuu sana, mikono yako isdinge weza hata kuguza kuta za lilr tanuru.. Tulishuka kwa kasi sana, kwamba nilisika kuwa roho yangu ilikuwa ikitengwa na mwili wangu.

Mara nilihisi harufu  mbaya ya kitu kilicho oza sana.  Kama harufu ya miili iliyo oza. Ilikuwa ikizidi kila mara. Baadaye nilisikia sauti za mamilioni na mamilioni ya roho. Walikuwa bila kukoma wakipiga makelele, wakilia, na kuhuzunika.Ilikuwa inaogopesha sana hivyo nilimgeukia Bwana na kumuuliza, "Bwana , unatupeleka wapi?  Bwana nirehemu!  Tafadhali nihurumie!"  Bwana alisema tuu, "Ni muhimu  kwamba uone hili, ili uweze kumwaambia kila mmoja.

Tuliendelea chini kupitia tanuru hili lenye sura ya pembe hata tulipo fika eneo ambalo lilikuwa ni giza tupu. Kama vile kuondoa pazia zito machoni mwangu, baadaye niliona miali ya moto milioni nba milioni.Kwa ubaya sana nilisikia sauti zile maumivu lakini sikuweza kumwona yeyote. Niliogopa haswa.  Nilimwambia Bwana, "Oh tafadhali Bwana nirehemu!Ooh tafadhali Bwana unirehemu ! Usinipeleke eneo hili!  Nisamehe!"  Katika muda huu, sikujua tuu kuwa mimi ni mtazamaji tuu wa kuzimu, nilifikiri ilikuwa ni siku ya mwisho.  Nikiwa nimesimama mbele ya Bwana Yesu, nilikuwa nikitetemeka kwa nguvu kwa sababu nilifikiria kuwa ilikuwa ni mwisho wa maisha yangu. 

Tulisogea karibu katika moto mkubwa mbele yetu; ulikuwa mkubwa na uliwaka kwa ukali. Niliendelea kwenda chini taratibu, nikiona miali ya moto mingi na kusikia sauti za mamilioni ya roho zilizo lia kwa sauti   kwa pamoja.

Baadaye niliona meza ya mti ambayo haikufikiwa na moto.Kulikuwa na kitu kama chupa za bia juu yake.Zilionekana kama ni za kuburudisha lakini zilijaa moto ndani yake.Nilipo kuwa ninaangalia, mtu alitokea kw ghafla.Mwili wake ni kama ulikuwa umekwisha na kile kilichokuwa kimebaki ni vazi lililo jaa tope na moto.  Alikuwa amepoteza macho yake, mdomo, na kila unywele kule motoni. Aliweza kuniona bila hata macho yake.. Nina kuambaia huyu ni mtu anaye waza , anayetafakari ,na kuona kwa kweli; sii kwa mwili wako wa asili.

Mtu huyu aliunyosha mkono wake kwa Bwana na kuanza kulia, akisema,, "Bwana nirehemu!  Bwana nirehemu!  Nipo kwenye maumivu!  Ninaunguzwa!  Tafadhali nirehemu na unitoe mahali hapa!"   Bwana alimwangalia kwa huruma,na nilianza kusikia kama joto kwenye mkonom wangu.Niliangalia na kuona kuwa ni damu...damu ya Yesu!  Damu ya Bwana ilitoka mkononi mwake alipo kuwa akimwangalia mtu huyu akiteseka  na kuzungukwa na moto

Baadaye mtu huyu aligeuka na kuelekeza mawazo yake kwenye meza na kutembea kuelekea zile chupa.Alichukua chupa na alipo kuwa karibu ya kuinywa, moto na moshi ulitoka ndani ya ile chupa. Aligeuza kichwa chake tena na ulia kwa jinsi ambavyo sijawahi tena kusikia..Alilia kwa maumivu makuu sana na masononeko na alianza kunywa kile kilicho kuwepo ndani ya ile chupa.Lakini chupa ile ilijaa asidi\ tindikali na koo lake liliaribiwa karibu na kwisha. Ungeweza kuona tindikali ile ikipita mle tumboni na kumuumiza.

Namba ile 666 ilikuwa imechimbiwa juu ya upaji wa uso wake. Juu ya kifua chake kulikuwepo na  sahani iliyo fanywa na  malighafi  isiyo julikana mabyo hata ule moto wala minyoo isingeweza kuiangamiza. Ilikuwa na maandishi juu yake lakini hatukuweza kuyaelewa Bwana kwa neeema yake kuu, alitupa tafsiri ya kile kilicho kuwa kimeandikwa.  "Nipo hapa kwa sababu mimi ni mlevi."  Alimwomba Bwana rehema,lakini neno la Mungu lipo wazi sana linaposema katika 1 Wakotintho 6:10 "Wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyanganyi, hawatauridhi ufalme wa Mungu."

Mungu alinionyesha hali ya mtu huyu muda mfupi kabla hajafaa duniani, kama vile sinema.Ilikuwa ni kama TV kubwa  ikinionyesha sekunde zake za mwisho kabla hajafa.Jina lake aliitwa Luis na alikuwepo baa akinywa pombe. Niliona meza ileile na chupa ileile pale baa.Kuizunguka meza ile walikuwepo marafiki zake.  (Naweza kukuambia jambo hili sasa kuwa yupo RAFIKI MMOJA TUU WA KWELI, na jina lake ni YESU KRISTO.Yeye ni rafiki mwaminifu.)  Luis alikuwa akinywa na marafiki zake walikuwa tayari wamelewa.  Rafiki yake mkubwa alichukua chupa na kuipasua na kuanza kumpiga nayo Luis . Alipo onma Luis amelala chini alikimbia,na Luis alitokwa na damu hadi kufa pale sakafuni. Jambo la huzuni sana ni kuwa alikufa bila Bwana Yesu. 

Katikati ya mambo haya yote, kwa jinsi roho zile zote zilivyo kuwa zinalia, nilimuuliza Bwana, "Oh Bwana, tafadhali niambie je mtu huyu alijua habari zako?  Alifahamu habari za wokovu wako?"  Bwana kwa huzuni alijibu, "Ndiyo, Lupe, alijua habari zangu. Alinipokea kama Bwana wake, lakini hakunitumikia."  Baadaye nilijisiki uwoga zaidi.  Luis alilia kwa sauti na kupiga kelele"Bwana hii inaumiza!inaumiza! tafadhali nirehemu!"  Aliunyoosha mkono wake tena kwa Bwana lakini Yesu aliuchukua mkono wangu na tulitembea kutoka eneo lile la moto. Moto ulio muunguza Luis ulikuwa na ukali zaidi, na alilia kwa sauti kuu zaidi, "Nirehemu!  Nirehemu!!"  Alitokomea baadaye kwenye ule  moto.

Tuliendelea kutembea, eneo hili lilikuwa kubwa na la kuogopesha! Tuliufikia moto mwingine na nimwambia Bwana, "Bwana, hapana.!  Tafadhali sitaki kuona tena haya! nakuomba unisamehe!Tafadhali nisamehe! sitaki kuona haya!"  Hivyo niliyafunga macho yangu,lakini haikusaidia, kufunga au kufungua bado niliona kila kitu.Moto huu ulianza kwenda chini taratibu na baadaye nilimwona mwanamke.Alikuwa amefunikwa na tope, na tope lilijaa minyoo mingi. Alikuwa bado na nywele chache zilizo baki na alikuwa amezungukwa na minyoo  pamoja na tope. Alikuwa analiwa na ile minyoo kila eneo na alilia, "Bwana nirehemu! Bwana nirehemu na unisamehe!niangalie.Hii inaumiza ! Nirehemu ! Niondolee hawa minyoo!Nitoe ndani ya mateso haya kwa sababu yananiumiza sana!"  Bwana alimwangalia tuu kwa huzuni kuu . Tukiwa tumeshika mikono yake tuliweza kuhisi maumivu na huzuni ndani ya moyo wa Yesu, kwa roho zote zinazo potea  na kuchomwa milele motoni kuzimu. 

Mwanamke hakuwa na macho wala nyama  midomoni, lakini aliweza kuona na kuhisi ; maumivu yote yalikuwa ni makuu sana. Alikuwa na chupa mkononi mwake, iliyo jaa tindikali, lakini aliamini kuwa ni manukato. Niliweza kuona kuwa ni tindikali na kila mara alipo ipulizia mwilini mwake, ilikuwa ikimuunguza. Hata hivyo aliendelea kuitumia ile tindikali tena na tena.Aliendelea kusema kuwa ile ni manukato ya dhamani sana.Aliamini pia kuwa alikuwa amevaa nguo isiyo na shingo, lakini kile nilicho kiona kiliwa ni nyoka iliyo mzingira shingoni. Aliamini kuwa alikuwa amevaa  ushanga wa kupendeza sana, lakini niliona zilikuwa ni minyoo ya kweli kabisazenye urefu wa kam futi moja wakiwa na hasira na kujichimbia ndani ya mifupa yake.Alikuwa amevaa chapa ya chuma ambayo kila mmoja anayo kule kuzimu. Iliandikwa, "Nipo hapa kwa ajili ya wizi.

Mwanamke huyu hajutii dhambi zake.  Bwana alimuuliza, "Magdalena, kwanini upo eneo hili,? Alijibu, "Haikunisumbua kuwaibia wengine.Kile nilicho jali ni kupata vito vya dhamani na manukato za dhamani. Sikujali ni nani niliye muibia, mradi tuu nipendeze.

Nili ushika mkono wa Kristo nilipo ona minyoo ikimwingia mwilini mwake .Magdalena aligeuka akitafuta kitu fulani. Nilimuuliza Bwana tena, "Bwana, je mtu huyu alikujua?"  Na Bwana alijibu, "Ndiyo, mtu huyu alinijua.

Magdalena alianza kuangalia pembeni, akisema, "Bwana, yupo wapi mwanamke yule amliye ongea nami habari zako?Yupo wapi? Nimekuwepo hapa kuzimu kwa miaka 15 sasa."  Watu wote kuzimu wanaweza kukumbuka kila kitu. Mgadalena aliendelea kusema, "Yupo wapi mwanamke huyu?  Siwezi kumwona!"  Nilijua kuwa mwili wake usingeweza kugeuka kwasababu nyama za ule mwili zingebaki mahali pamoja. Alijaribu kugeuka na kuangalia kwenye mioto mingine, kumtafuta yule mwanamke aliye ongea naye juu ya Mungu. Bwana alisema, "Hapana! hapana,  Magdalena, hayupo hapa.  Yule mwanamke aliye kuambia habari zangu yupo kwenye Ufalme wa Mbinguni pamoja nami.

Kwa kusikia hili, alijitupa wmenyewe chini ya ule moto ambao ulimuunguza zaidi. Bango lake lilikuwa likimhukumu kuwa ni mwizi.  Nataka usome neno la Bwana katika Isaya 3:24. "Hata itakuwa ya kuwa badala ya manukato mazuri kutakuwa uvundo, na badala ya mishipi, kamba; na badala ya nywele zilizo sukwa vizuri, upaa; badala ya kisibau mavazi ya gunia, na kutiwa alama mwilini kwa moto badala ya uzuri."

Kwa jinsi tulivyo endelea kutembea na Bwana, niliona eneo la miraba lililojaa minyoo.Kulizunguka kulikuwepo na chuma chenye moto mwekundu.Kwenye eneo lile la miraba kulikuwepo na  ubao ulio angaza  kila mahali . Ubao uliandikwa,"Karibuni waongo na wasengenyaji."  Mwisho wake kulikuwa na ziwa linalo tokota.  Ilikuwa ni kama uji wa kikemikali unao tokota.  Baadaye niliwaona watu walio uchi kabisa wakija chini eneo lile. Walipo kuwa wanateleza kuja ngozi zao zilikuwa zinabaki kwenye kile chombo.Walipo angukia kwenye ziwa lile, ndimi zao zilitanuka hadi kupasuka na minyoo ilitokea badala ya ndimi zile..Matezo yao yalianza. Neno la Mungu linasema katika  Zaburi 73:18-19 "Hakika wewe huwaweka kwenye utelezi,  Huwaangusha mpaka palipo haribika. Namna gani ukiwa mara! wametokomea na kutoweshwa kwa utisho."

Baada ya kuona hili, tulichukuliwa tena , nje ya kuzimu. Nina taka kukuambia kuwa Mbingu na Kuzimu  ni za kweli kuzidi hata ulimwengu wetu huu tunao ujua. Ni hapa tuu unapo weza kuamua ni upande upi unao taka kwenda; kuutumia umilele na Yesu au kuunguzwa kuzimu.Bwana aliendelea kutuambia,"Pasipo utakatifu hakuna mtu atakaye niona mimi, pasipo utakatifu hakuna mtu atakaye niona mimi."  (Waebrania 12:14) Hii ndiyo sababu ninakuambia kitu kile kile sasa, "Pasipo utakatifu hakuna mtu atakaye mwona Bwana."

--- (Ushuhuda wa tatu 3, Sandra) ---

Hebu twende pamoja kwenye neno la Bwana katika Mathayo 10:28 " Msiwaogope wauao mwili, wasiweze kuiua roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika Jehanum."

Wakati roho inapo fika kuzimu, mtu huyo huchukua mwili wa mauti.Bwana Yesu alinishika mkono wangu na tulianza kwenda chini kupitia tanuru lenye giza kuu linaongoza kwenda katikati ya dunia. Tulifika eneo lenye milango mingi; mmoja wao ulifunguka na tuliingia pamoja na Bwana. Sikuweza kuuachia mkono wa Bwana maana nilijua kwa kufanya hivyo ningelibakia mle kuzimu milele.

Baada ya kuingia mlango ule, niliona ukuta mkubwa sana.Kulikuwa na watu kwa maelfu waliokuwa wametundikwa vichwa vyao na komeo, na pingu zilizo wafunga mikono yao ukutani. Tuliona pia maelfu ya watu wakiwa wamesimama katikati ya mioto kila eneo.

Tulikwenda mbele ya ile mioto na mara ilianza kutulia taratibu.Mara niliweza kumwona mtu mle ndani, na alipo ongea, niliweza kujua kuwa alikuwa ni mtu.Mtu huyu alikuwa amevaa vazi la Kikuhani lililokuwa limeharibiwa kabisa .Minyoo ilikuwa ikimwingia na kutoka.Alionekana mweuusi kutokana na kuunguzwa na moto. Macho yalikuwa yamemtoka na nyama yake ilikuwa imeyeyuka na kuanguka chini. Lakini baada ya nyama yote kuanguka chini baadaye humrudia na tendo hili huanza tena.

Alipo mwona Yesu, alisema, "Bwana unirehemu,unirehemu! Tafadhali nitoe hapa hata kwa kitambo kidogo tuu! kwa dakika tuu!"  Kwenye kifua chake lilikuwepo bango lilosomeka, "Nipo hapa kwa ajili ya wizi.

Wakati Yesu alipo kuja karibu, alimuuliza yule mtu,"Jina lako ni nani?"  Akajibu, "Andrea, jina langu ni Andrea, Bwana."  Bwana akamuuliza, "Ni kwa muda gani umekuwepo hapa?"  Andrea alijibu, "Nimekuwepo hapa kwa muda mrefu sana."  Mtu huyu alianza kuelezea habari za maisha yake.  Alisema, alikuwa na kazi ya kukusanya fungu la kumi na kupanga jinsi ya kugawa fedha za kanisa lake la Katoliki kwa masikini.Hata hivyo,alikuwa akiiba zile fedha. Kwa macho yaliyo jaa huruma, Bwana alimuuliza, "Andrea, Uliwahi kuisikia injili ?"  Andrea alijibu, "Ndio Bwana, alikuwepo mwanamke mmoja wa kikristo aliye ingia kanisani na alihubiri injili mara moja, lakini sikutaka kuipokea.Sikutaka kuiamini, lakini naiamini sasa! Sasa naamini kuwa huu ni ukweli! tafadhali Bwana nitoe mahali hapa,hata kwa kitambo tuu!

Alipo kuwa akiongea, minyoo ilikuwa ikitambaa kwenye mafuvu ya macho yake yakitokea masikioni, na kuingia tena kupitia mdomo wake. Alijaribu kuwavuta nje kwa mikono yake lakini haikuwezekana. Alikuwa akipiga makelele kwa na kumwomba Mungu amrehemu. Aliendelea kumwomba Yesu amtoe mahali pale.  Mbaya zaidi kulikuwepo na pepo linalo mtesa, muda wote yakimchoma na mikuki yao.Pepo hili lilifanana na midoli ile tuliyo nayo hapa duniani tunayo iita "Joridano". Niliiona midoli hiyo kuzimu, lakini sasa haikuwa tena ni midoli;yalikuwa hai na ni mapepo. Yalikuwa ya urefu karibu futi tatu na meno makli sana. Damu zinawatoka mdomoni na macho yao yalikuwa ni mekundu kabisa.

Yalikuwa yakimsumbua  Andrea  kwa nguvu zao zote, pamoja na wengine walio kuwepo eneo hili la kuzimu.. Nilipo ona hili, nilimuuliza Bwana inawezekana je midoili ya duniani, kufanana kama yale mapepo.Bwana aliniambia kuwa yale ni mapepo ya huzuni.

Tulipo endelea, tuliwaona maelfu ya watu kwenye mateso,Wakati roho inapo mwona Bwana, zilijitahidi kumfikia kwa mikono isiyo na ngozi.Nilimwona mwanamke aliye anza kupiga makelele alipo mwona Bwana Yesu. Alilia, "Bwana tafadhali nirehemu! nitoe mahali hapa!"  Alikuwa akiteseka sana na aliunyoosha mkono wake kwa Bwana.Aliendelea kumwomba Bwana amtoe eneo lile hata kwa sekundr moja.  Alikuwa yuu uchi kabisa na alifunikwa na tope. Nywele zake zilikuwa ni chafu na minyoo ilikuwa ikijongea mwilini mwake .Alijaribu kuiondoakwa mikono yake lakini kila alipo mwondoa mmoja mingine ilijizisha zaidi.Minyoo ilikuwa na urefu  karibu inchi 6-8.Neno la Bwana linasema katika Marko 9:44, "Ambamo humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki."

Ilikuwa ni ya kutisha sana kumwona mwanamke huyu na kusikia kilio chake kwa jinsi minyoo ile kwa hasira ilivyo kuwa inaila nyama za mama huyu. Kulikuwepo na bango la chuma lililo kifuani mwake ambalo lisingeweza kuharibiwa na moto. Lilisomeka , "Nipo hapa kwa ajili ya Uzinzi."  Kwa jinsi ile ile ya dhambi yake, mwanamke huyu alilazimishwa kufanya uzinzi kuzimu na nyoka  wa kutisha mnene..Nyoka huyu alikuwa na miiba mikubwa kuuzunguka mwili wake, ni kama ya uerfu wa inchi 6-8 hivi.Nyoka humwingia mama hyu sehemu zake za siri na kusafiri hadi mwilini mwale hadi kwenye koromeo lake. Nyoka alipo mwingilia hivi, alianza kulia kwa makelele . 

Alimwomba Bwana kwa nguvu sana amtoe eneo lile, "Bwana, nipo hapa kwa ajili ya uzinzi, nimekuwepo hapa kwa miaka 7, tangu UKIMWI ulipo niua. Nilikuwa na wapenzi sita6, na nipo hapa kwa ajili ya uzinzi."  Kule kuzimu alitakiwa kuirudia dhambi yake tena na tena. Hakuna kupumzika usiku na mchana, akiteseka kwa jinsi ile ile kila mara. Alijaribu kuunyoosha mkono wake kwa Bwana, lakini Bwana alimwambi, "Blanca, kwako tayari umechelewa. Minyoo itakuwa ni kitanda chako, na minyoo itakufunika." (Isaya 14:11)  Wakati Bwana alipo sema maneno hayo, blanketi la moto lilimfunika, na siku mwona tena.

Tuliendelea kutembea, tukiona maelfu na maelfu ya watu. Walikuwepo vijan, watu wazima na wazee kabisa wakiteseka kuzimu. Tulifika eneo lililo onekana kama eneo la bwawa la kuogelea la moto, likiwa na maelfu ya wanaume na wanawake ndani yake. Kila mmoja wao alikuwa na bango la chuma kifuani mwake lililosomeka: "Nipo hapa kwa kuto toa fungu la kumi na sadaka"  Nilipo soma vile,nilimuuliza Bwana, "Inawezekanaje hili kuwa hivi, kwamba mtu yupo hapa kwa sababu hii??"  Bwana alijibu,"Ndiyo, kwasababu watu hawa walifikiri kuwa fungu la kumi na sadaka  hazikuwa ni lazima, wakati neno langu lina onyesha kuwa ni amri."   Katika Malaki 3:8-9 inasema "Je! mwanadamu atamwibia Mungu? lakini ninyi mnaniibia mimi.Lakini ninyi mwasema .tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote."

Bwana aliniambia kuwa wakatim watu wake wanapo zuia fungu la kumi, inazuia kazi ya Bwana, na injili haihubiriwi. Watu wa eneo hili wanateseka mara elfu zaidi ya wengine, kwa sababu, walilijua neno la Bwana na hawakulitii.

Tuliendelea kutembea na Bwana alinionyesha mtu.Niliweza kumwona kuanzia kiunoni hadi kichwani, na nilianza kuona maono ya jinsi alivyo kufa. Jina lake ni  Rogelio.  Alikuwa ndani ya gari lake wakati mtu alipo msogelea kumhubiria injili , na kumpa Bibilia . Lakini Rogelio alikataa maonyo ya mtu yule na aliendelea kwenye njia yake, bila ya kujua kuwa dakika chache baadaye gari lake linge pata ajali. Liliangukia kwenye korongo, na mara alikufa.

Mara tuu baada ya ajali, Bibilia ilifunguliwa katika Ufunuo 21:8, "Bali waoga, na wasioamini,na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na wahao waabuo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili."  Wakati Rogelio aliposoma msitari huu, alikufa na alifika kuzimu. 

Alikuwepo pale mwezi mmoja tuu na bado alikuwa na ngozi usoni mwake. Hata hivyo alikuwa akiteseka kama wengine. Mwanzo hakujua ni kwanini alikuwepo kuzimu. Nafikiri yule mkristo alipo mfikia pale kwenye gari yakr, ilikuwa ndiyo nafasi yake ya kipekee na ya mwisho ya kumkubali Bwana Yesu.  Kwa jinsi ile ile ambayo wengi wamepata nafasi ya kumkubali Yesu.Leo nina kualika ufungue moyo wako kwa Yesu; Yeye tuu ndiye njia,kweli, na uzima. (Yohana 14:6) Ni kwa yeye tuu tunaweza kuokolewa kuingia ufalme wa Mbinguni (Matendo 4:12) Bwana alituambia pia kuwa tuzifuate njia zake katika utakatifu na heshima. Mungu akubarik


--- (Ushuhuda wa 4) ---

Mungu awabariki kaka zangu. Wakati Bwana alipo uchukua mkono wangu, niliweza kuona kuwa nilikuwa nimesimama kwenye mwamba, na nyuma yetu nilimwona malaika. Tulianza kwenda chini kupitia tanuru lile kwa mwendo wa kasi wa kutisha.Kwa haraka, niligeuka na kuona kuwa malaika alikuwa ameondoka, na nilijisikia hofu.Nilimuuliza Bwana, "Bwana, yupo wapi yule malaika? kwanini hayupo hapa tena?Bwana alisema, "Hawezi kwenda pale sisi tunapo kwenda.

Tuliendelea kwenda chini naghafla tulisimama, kama kwenye lifti. Niliona matanuru kadhaa; na tuliingia mojawapo ambalo dada yangu Sandra ameshalizungumzia tayari. Pango ambalo watu walikuwa wametundikwa wakining`inia na pingu mikononi mwao. Ukuta ambao ulikuwa na watu juu yake ulikuwa ni mrefu usio na mwisho. Mamilioni ya watu walikuwa pale wakining`inia . Walikuwa na minyoo mwili mzima. Niliangalia mbele na liona kuwa kulikuwa na ukuta mwingine, kama ule mwingine. Nilimwambia Bwana, "Bwana!  Kuna watu wengi sana eneo hili!"  Mara, andiko liliingia akilini mwangu;ambalo silikumbuki.  Bwana aliniambia, "Kuzimu na uharibifu havishibi."  (Mithali 27:20)

Tulitoka pale na mara tulifika eneo linaloitwa, "Bonde la Masufuria ya moto(cauldrons)".  Masufuria haya yalijaa matope yanayo tokota, na tulilisogelea moja wapo. Mtu wa kwanza ambaye nilimwona alikuwa ni mwanamke. Mwili wake ulikuwa ukipanda juu na kushuka chini katika tope lile linalo tokota la moto, lakini Bwana alipo mwangalia aliacha kwenda na alibaki akielea kuanzia kiunoni kwenda juu. Bwana alimuuliza, "Mwanamke, jina lako ni nani?"  Alijibu, "Jina langu ni Rubiella.

Nywele zake zilijaa matope yanayo tokota na nyama za mwili wake zilikuwa zina ning`inia toka mifupa yake, ambayo ilikuwa mweusi kwa kuunguzwa. Minyoo ilimwingia kupitia mashimo ya macho yake, ikitoka kupitia midomo yake, ikiingia tena kupitia pua zake na kutokea masikioni. Wakati minyoo ilipo shindwa kuingia, ilifanya shimo yenyewe kupitia eneo jingine la mwili, ambayo ilisababisha maumivu yasiyo elezeka.

Alipiga makelel, "Bwana, tafadhali!  Nitoe mahali hapa. Nirehemuu! siwezi kuendelea jinsi hii tena! isimamishe Bwana! siwezi kuendelea tena!tafadhali nirehemu!."  Bwana alimuuliza ni kwa nini alikuwepo pale.Alisema kuwa alikuwepo pale kwa sababu ya maringo, kitu ambacho ni saw na jinsi ilivyo kuwa imeandikwa juu ya bango lake lililo kifuani mwake.Mkonoi mwake ni chupa ya kawaida, lakini kwake aliiona kama ni manukato ya dhamani kubwa.  Rubiella angechukua chupa ile iliyojaa tindikali , na angejipulizia mwili wake wote. Hii ilimsababishia nyama yote iliyo puliziwa kuyeyuka kumsababishia maumivu makubwa sana.

Alipiga kelele kwa Bwana, "Bwana tafadhali, nirehemu! siwezi kuwepo tena hapa ! kwa sekunde moja tuu Bwana.Sisemi kuwa ni dhambi kutumia manukato, lakini Bwana alituambia kuwa mwanamke yule alikuwepo pale kwa ajili ya maukato yake, kama vile neno la Mungu linavyo tuambia katikaI am not saying that it is a sin to use a perfume, but the Lord told us that the woman was there because of her perfume, as the Word of the Lord tells us in Kumbukumbu la Torati 5:7 " Usiwe na miungu mingine ila mimi." Alikuwepo pale kwasababu ya uzuri wake, manukato, na maringo yalikuwa ndicho kitu cha kwanza katika maisha yake.  Hata hivyo, Bwana Yesu ni mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana! Anatakiwa kuwa wa kwanza katika maisha yako; hii ndiyo maana alikuwepo pale. Kwa huzuni, Bwana alimwangalia na kusema , "Rubiella, unechelewa, minyoo itakuwa kitanda chako, na minyoo itakufunika."  Wakati Bwana aliposema hivyo, blanketi la moto lilimfunika kabisa. Wakati wmili wake ukiwa umefunikwa kabisa ndani ya sufuria lile la moto, alikuwa akitesema sana.

Tulitoka pale na kwenda mbali zaidi eneo lenye milango imkubwa .Tulipokuwa tumeifikia, ilitufungukia yenyewe. Upande mwingine tuliona pango kubwa.  Nilipo angalia juu niliona rangi tofauti za mwanga zikitembea kama mawingu ya moshi.Ghafla tulisikia mziki wac; salsa, ballenato, rocki, na aina tofauti ya miziki mashuhuri ambayo watu huisikiliza kwenye redio. Bwana aliuelekeza mkono wake na tuliona, mamilioni na mamilioni ya watu wakiwa wametundikwa na minyororo mikononi mwao. Walikuwa wakiruka ruka kama wanyama ndani ya moto.

Bwana alituangalia na alisema: "Angalia huu ni mshahara wa wacheza mziki."  Watakuwa wakiruka kama wanyama juu na chini sawa na mapigo ya miziki.  Kama ni  salsa inapigwa, walitakiwa kuruka kwa mapigo yale, kama aina nyingine ya mziki ikipigwa, walitakiwa kuruka sawa na mapigo yake.Hawawezi kamwe kuacha kuruka.Lakini mbaya zaidi, viatu vyao vina misumazi ya inchi6 chini yake. Wakati wanaporuka inawangia miguuni mwao na hawatakuwa na nafasi ya kupumzika.Wakati mtu anapotaka kuacha, pepo lingekuja maramoja na kumchoma na mkuki, likiwalaani na kusema, "Msifuni yeye sasa! Huu ndio ufalme wenu sasa, msifuni Shetani! msifuni! huwezi kuacha, msifuni!ni lazima umsifu !lazima uruke! lazima ucheze!Uwezi kuacha hata kwa sekunde moja.

Ilikuwa hatari kuwa wengi wa watu wale walikuwa ni wakristo waliomjua Bwana,lakini walikuwa kwenye madisko ya usiku walipo kufa. Labda unauliza, "Wapi Bibilia inasema kwamba ni vibaya kucheza?"  Katika Yakobo 4:4, Neno la Bwana linasema:: " Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui na Mungu? basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia kuwa adui wa Mungu."  Pia katika      1 Yohana 2:15-17, "Msiipende dunia, wala mambo yaliyopo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake, maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.Na dunia ianpita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.Kumbuka dunia itapita, vitu vyote hivi vitaharibika, lakini yule atendaye mapenzi ya Mungu atadumu milele. 

Rafiki zangu na kaka zangu, tulipo acha eneo hili, tuliona kitu kama daraja lililo igawanya kuzimu katika maeneo tofauti ya mateso.Tuliiona roho ikipita kwa miguu juu ya daraja. Ilionekana sawa na mdoli tuliyo iona duniani; tunaiita mikokoteni ya dhamani. Ina nywele za rangi za aina mbali mbali, zina nyuso za mzee lakini mwili wa mtoto, bila maeneo ya siri. Macho yaliyo jaa uovu. Bwana alituelezea kuwa hizi ni roho za upotovu. Roho hii ilikuwa na mkuki mikononi na ilikuwa ikitembea kwa maringo katika daraja lile kama vile ni mwana wa mfalme.

Alipo kuwa anatembea, aliwachoma watu chini kwa ule mkuki wake. Alikuwa akiwalaani akisema,"Mnakumbuka siku zile mlipo kuwa nje ya makanisa ya kikristo na mlikataa kuingia ndani? Mnakumbuka siku zile walipo wahubiria na hamkutaka kusikiliza? Mnakumbuka wakati walipo wagawia  vipeperushi vya injili na mkavitupa mbali?"  Roho hizi zilizo potea hujitahidi kufunika maeneo yakle ambayo masikio hukaa. Huwajibu mapepo yale, "Nyamaza!  Nyamaza!  usiniambie tena!  sitaki kujua zaidi, nyamaza!"  Hata hivyo, mapepo yale hupenda kufanya vile kwakuwa  huwaingizia maumivu watu wale kwenye nafsi zao.

Tuliendelea kutembea na Bwana. Kwa kule kuangalia umati wa watu, tuligundua kuwa mtu mmoja alikuwa akipiga makelele zaidi ya wengine waliokuwa wakiungua pale.Alikuwa akisema, "Baba, Baba, nirehemu!"  Bwana alikuwa asisimane lakini aliposikia neno "Baba" Alisisimka na kugeuka. Yesu alimwangalia na kumuuliza,"Baba?  Unaniita Baba? Hapana, mimi siyo Baba yako na wewe kamwe sio mtoto wangu. Kama ungekuwa mtoto wangu, ungekuwa sasa na mimi katika Ufalme wa Mbinguni.Ninyi  ni wana wa Shetani baba yenu."  Ghafla blanketi la moto lilikuja na kabisa lilimfunika mwili wake. 

Bwana alituelezea habari ya maisha ya mtu yule. Mtu yule alimwita Baba kwa sababu aliwahi kumjua . Alikuwa akienda kanisani na alikuwa akilisikiliza neno la Mungu, na alikuwa amepokea ahadi nyingi za Mungu. Hivyo tuliuliza, "Nini basi kilitokea Bwana?  Kwanini basi yupo hapa leo?"  Bwana alitujibu, "Alikuwa akiishi maisha ya aina mbili; moja nyumbani moja kanisani. Alifikiria moyoni mwake, 'Hapana mtu anaye ishi karibu yangu, sii mchungaji, wala ndugu yeyote, hivyo naweza kufanya chochote ninacho taka. Lakini alisahau kuwa jicho la Bwana lipo juu ya njia zetu zote kwamba hakuna mtu anaye weza kumdanganya au kujificha mbele za Bwana.

Neno la Bwana linatuambia kuwa, "Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; Kwakuwa chochcote apandacho mtu,  ndicho atakacho vuna."  (Wagalatia 6:7) Mtu huyu alikuwa akiteseka mara alfu zaidi ya wengine. Alikuwa akilipwa hukumu mara mbili: moja kwa ajili ya dhambi zake na nyingine ni kule kufikiri kuwa anaweza kumdanganmya Bwana.

Leo, watu wana jaribu kupima ukubwa wa dhambi; wanafikiri kuwa  kulawitiana, kuua ni dhambi kubwa zaidi ya kusema uongo au kusengenya. Lakini mbele ya macho ya Bwana, dhambi zote hizi zina uzito mmoja na malipo sawa. Bibilia inatuiambia kuwa, "Mshahara wa dhambi ni mauti" "na roho itendayo dhambi ndiyo itakayo kufa." (Warumi 6:23) (Ezekieli 18:20)  Rafiki zangu na kaka zangu, nina waalika sasa kuukubali mwaliko wa Yesu. Yesu ameunyoosha mkono wake wa rehema kwako kama ukitubu.Neno la Bwana linatuambia kwamba yule atakaye geuza njia zake na kutubu atapokea rehema.Ni vizuri zaidi ukaamini sasa, kuliko kusubiri na kukuta njia ngumu mbeleni. Mungu akubariki.



--- (Ushuhuda wa 5) ---

Neno la Mungu linasema katika Warumi 6:23 " Kwa maaana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu."

Tulipo kwenda chini mahali pale, nilisikia maumivu na uzoefu wa kifo. Nilikuwa nimeogopeshwa sana na kile nilicho kiona.Niligundua kuwa kuliwa na watu wengi, wengi sana ; wote walikuwa wakilia na kupiga makelele.Lilikuwa ni giza tupu, , lakini katika uwepo wa Bwana,giza lilitoweka.Tuliona maelfu na maelfu ya roho zote  zikilia kuomba msaada na rehema.Walikuwa wakilia kwa Bwana kuwaondoa eneo lile.  Tulijisikia pia maumivu kwa sababu tulijua Bwana alikuwa akiteseka sana kila alipo waona.

Wengi walilia kwa     Bwana kuwaondoa mahali pale angalau kwa sekunde moja tuu. Bwana angewauliza, "Kwa nini unataka kutoka nje ya hapa?", na wangelijibu, "Kwa sababu ninataka kuokoka!  Nataka kutubu na kuokoka!"  Hata hivyo ilikuwa kwao tayari wamechelewa.

Wapendwa watu mnaonisikiliza sasa, sasa ndio nafasi pekee ya sisi kuchagua eneo letu la umilele. Unaweza tuu kuchagua umilele wa wokovu au wa hukumu. 

Tulikwenda chini kwa zaidi.  Niliona kuwa sakafu tuliyokuwa tunatembea juu yake, ilikuwa imeharibiwa na moto; na tope na moto lilikuwa linatoka ndani yake. Kulikuwepo pia na harufu ya kutisha kila mahali. Tulijisikia vibaya sana na mahangaiko kutokana na harufu na makelele ya watu wote.

Tulimwona mtu, kwa mbali ambaye alikuwa amezama chini kwenye tope la moto.Alipo toa mkono wake. nyama toka toka mifupa yake zilidondoka chini kwenye tope.Tuliweza kuona mvuke wa kikahawia  ndani ya mifupa yake, hivyo tulimuuliza Bwana ninini kile. Aina hii ya mvule upo ndani ya kila mtu kuzimu.Bwana alituambia ni nafsi zao zilizokamatwa ndani ya miili yenye dhambi; Kama ilivyo andikwa katika Ufunuo 14:11 "Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, nao wamsujudia huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake."

Tulianza kuelewa vitu vingi ambavyo tulividharau duniani;Jambo la muhimu, ujumbe wa karibu zaidi ni kuwa, maisha yetu duniani yana amua ni wapi tutakapo tumikia umilele wetu baada ya kufa.

Tulipo kuwa tunatembea tukiwa tumeshikana mkono na Bwana, tuligundua kuwa kuzimu ina sehemu nyingi sana yenye mateso mbalimbali. Tulifika eneo lenye vyumba vingi na roho nyingi zinateseka huko. Roho hizi zilikuwa zinateswa na mapepo mengi ya aina nyingi. Mapepo yangeweza kuzilaani zile roho, kwa kusema, "Ninyi masikini mlio laaniwa, msifuni Shetani!  Mtumikieni kama vile mlivyo fanya mlipo kuwa duniani.!"  Roho zile ziliteseka sana kutokana na minyoo ile; na moto ulikuwa ni kama tindikali juu ya mwili wote. 

Tuliwaona watu wawili ndani ya chumba kile cha jela, kila mmoja alikuwa ameshika kisu na anamsumbua mwenzake. Wangelisema, "Wewe masikini mlaaniwa! ni kwasababu yako ndiyo maana nipo hapa! Ulinifanya nije hapa kwasababu ulinipofusha nisujue ukweli na hukuniruhusu kumjua Bwana! Hukuniruhusu kumpokea! Mara nyingi nilipata nafasi lakini hukuniruhusu kumkubali! Ndiyo sababu nipo hapa leo, nateswa usiki na mchana!

Kupitia maono, Bwana alituonyesha maisha yao duniani, Tuliwaona wakiwa baa ya pombe pamoja. Mazungumzo yalianza yaliyo pelekea kupigana. Walikuwa tayari walevi. Mmoja alichukua chupa iliyo vunjika na mwingine alitoa kisu. Walipigana mpaka wote wakawa wamejeruhiwa sana na wakafa.Watu hawa wawili waliwekewa kulirudia tukio hili milele.Waliteseka pia na kumbu kumbu zao kuwa walikuwa ni marafiki sana duniani, kama mtu na nduguye wakipendana.

Nataka kukuambia leo kuwa, kuna rafiki mmoja tuu wa kweli, na jiana lake ni Yesu wa Nazarethi  . Yeye ni rafiki wa kweli. Ni rafiki mwaminifu, aliye pamoja nawewe katika muda wote.

Tulipo endelea kutembea tulimwona mwanamke ndani ya chumba kingine, alikuwa akinivingirisha kwenye lile tope. Nywele zake zilikuwa chafu na  zenye tope. Ndani ya chumba kile alikuwepo nyoka mnene mkubwa.Alikuwa anamsogelea na kumzunguka mwili wake, na alianza kumwingilia mwilini mwake akianzia sehemu zake za siri. Alilazimishwa kufanya  uzinzi na yule nyoka. Kwenye eneo hili, wanaume na wanawake waliokuwa wazinzi walilazimishwa kufanya uzinzi . Hata hivyo walilazimika kufanya hivyo na majoka yale yaliyofunikwa na vitu vikali mwili mzima kama chuma kikali cha inchi 6.   Nyoka aliuharibu kabisa mwili wa mwanamke yule kila mara alipo mwingilia. Alilia sana kwa Bwana na kumwomba kusimamisha hali ile.Hakutaka kuteseka tena. "Simamisha!  Sitaki kufanya tena!tafadhali simamisha hii hal!" Alimwomba Bwana amhurumie kila wakati nyoka alipo mwingilia na muuharibu mwili wake tena na tena. 

Tulijitahidi kuyafunga masikio yetu tusisikie kilio chake, lakini bado tulimsikia.Tulijaribu kwa nguvu zaidi kufunga masikio yetu , lakini haikusaidia. Tulisema Bwana, "Tafadhali Bwana, hatutaki kuona na kusikia hivi tena! tafadhali!"  Bwana alitujibu, "Ni muhimu muone haya, ili muwaeleze wengine. kwa sababu watu wangu wanaangamizwa, watu wangu wanaukataa wokovu halisi, njia ya kweli ya wokovu."

Tuliendelea kutembea na tuliona ziwa kubwa lenye watu maelfu na maelfu ndani yake katikati ya mioto.Walitupungia wakiomba msaada, lakini kulikuwa na mapepo mengi yakiruka juu ya eneo lile.Mapepo haya yalikuwa yanatumia mikuki yenye vichwa  kama S- kuwaumiza  watu wale waliokuwa wakiunguzwa katika lile ziwa. Mapepo yaliwatania na kuwalaani yakisema, "Ninyi masikini mlio laaniwa! Sasa ni lazima kumwabudu Shetani! Msifuni, msifuni kama mlivyo fanya wakati mlipo kuwa duniani!"  Kulikuwepo watu maelfu kwa maelfu. Tuliogopa sana,tulihisi kama tusingeushika mkono wa Bwana tungebaki katika eneo lile la kutisha. Tuliogopeshwa na vitu tulivyo kuwa tunavihisi.

Kwa mbali tulimwona mtu aliyesimama, akiwa kwenye maumivu makubwa na huzuni. Alikuwa na mapepo mawili yakiruka juu yake yakimtesa. Yangeweza kuchimbia mikuki yao mwilini mwake na kutoa mbavu zake. Yalikuwa pia yakimtania kila mara. Zaidi ya yote Bwana alinionyesha kuwa alikuwa akiteseka kwa hofu ya kila siku juu ya familia yake aliyo iacha duniani. Mtu huyu hakutaka familia yake ije mahali pale pa mateso.  Aliogopa kwa sababu hakuwahi kuwapa ujumbe wa wokovu. Aliteseka zaidi kwa kukumbuka kuwa wakati fulani walikuwa na nafas.Alikuwa mtu muhimu katika ile familia ambaye angeweza kuwapa ujumbe ule, lakini aliamua kuudharau  ujumbe ule na sasa alikuwa akihofia juu ya watoto wake na mke wake.

Mateso yaliendelea pale ambapo mapepo yalipo mkata mikono yake, aliangukia kwenye matope ya moto. Kwasababu ya maumivu toka tope lile la moto, alijongea kama vile minyoo toka eneo moja hadi jingine. Nyama zilimtoka mwilini mwake sababu ya ule moto. Alianza baadaye kutambaa kama nyoka ili atoke pale. Lakini kila mara alipojaribu kwenda, mapepo yalimsukuma na kumrudisha pale na alizama zaidi kwenye lile tope.

Baadaye tuliona idadi ya mapepo eneo moja.Kitu fulani kilinivuta kuangalia, niliona kuwa mojawapo ya mapepo lilikuwa halina bawa lake moja. Nilimuuliza Bwana, "Bwana, kwanini pepo hili halina bawa moja?"  Bwana alisema, "Pepo lile lilitumwa duniani kwa lengo moja, lakini halikukamilisha kazi yake, na lilikemewa na mmoja wapo wa watumishi wa Mungu na kurudishwa kuzimu. Baadaye Shetani alikuja na kuliadhibu, na kulikata moja ya mabawa yake."  Ndipo tulipo gundua kuwa kama wakristo, tuna mamlaka ya kukemea mapepo yote na mamlaka zote.

Mpendwa rafiki unaye sikiliza maneno haya sasa hivi, ushuhuda huu sii kwa ajili ya kukuhukumu bali kwa wokovu; hivyo unaweza kujipima mwenyewe na kuona hali ya roho yako mbele za Bwana. Hii ndivyo ilivyo ili uweze kubadili njia zako kwa wokovu na sio kwa hukumu.  Sasa hivi inua moyo wako kwa Bwana na utubu dhambi zako, ili kama Bwana akija sasa hivi uweze kwenda naye badala ya kwenda eneo lile la mateso mahali penye kilio na kusaga meno. Hapa utajua ni kwanini Yesu alilipa gharama kubwa vile pale msalabani Kalvari.

Tuliona watu wengi kuzimu ambao hawakujua ni kwa nini walikuwepo pale. Maisha yao yalijaa mambo ambayo hawakuwahi kujua kuwa ni dhambi. Mpendwa rafiki yangu, jipime mwenyewe! usifikiri kuwa kudanganya, kuiba, maringo ni vitu sahihi vya kufanya! vyote hivi ni dhambi mbe;le za macho ya     Bwana!  Mpendwa kaka, jeuka na acha kufanya vitu hivi!Ninakupa ujumbe huu ili uache kufanya dhambi kwa kudhamiria, na kuuangalia zaidi uso wa Bwana.


--- (Ushuhuda wa 6) ---

Zaburi 62:12 "Na fadhili  ziko kwako, Ee Bwana; maana ndiwe umlipaye kila mtu sawasawa na haki yake."

Asubuhi Bwana alitutembelea  pale chumbani, alitushika mkono na tulianza kwenda chini.Roho yangu ilikuwa imejawa na hofu, siwezi hata kuielezea.Nilifahamu tuu kuwa siwezi kuuachia mkono wa mwokozi wangu.Nilijisikia kuwa Yesu ni maisha yangu , mwanga wangu na kila tumaini langu  lilikuwa kwake; kama sivyo ningebakia mle kuzimu.Sikuwahi kuwaza kama ningewahi kwenda eneo lile.Sikuamini pia kama eneo kama hili lipo.Japo ni Mkristo nilifikiria kuwa kuna eneo linaloitwa Pagatori na labda ndilo kuzimu, lakini Mungu alinionyesha ukweli wa Kuzimu.

Tulipofika kuzimu,nilijisikia mshituko wa eneo lile.Na mapepo yote pale yalikimbia kujificha, kwasababu hakuna hata mojawapo ya pepo linalo weza kusimama mbele ya uwepo wa Yesu..Tulisikia roho zilizo kamatwa kuzimu zikipiga makelele ya nguvu, kwasababu walijua kuwa Yesu wa Nazarethi yupo pale. Walijua wote kuwa yupo mtu mmoja tuu anaye weza kuwatoa eneo lile. Walikuwa na matumaini hayo, japo ni matumaini ya uongo.

Tulitembea tukiwa tumeshikana mikono na Yesu, na tulifika eneo la uzinzi. Yesu aligeuka kumwangalia mwanamke ambaye alikuwa amefunikwa kabisa na moto. Wakati Yesu alipo mwona, alianza kutoka mle motoni taratibu, japo maumivu yake hayakusimama.Tuliweza kuona kuwa alikuwa yuu uchi kabisa na kuweza kuona mwili wake mzima. Mwili wake ulikuwa mchafu sana, na alikuwa ananuka.. Nywele zake zilikuwa zimevurugika sana na alikuwa na tope la rangi ya njano na kijani juu yake.Hakuwa na macho na midomo yake ilikuwa imechanika. Hakuwa na masikio, ni machimo tuu. Kwa mikono yake, iliyo mifupa iliyo geuka  kuwa mweusi kwa moto, aliichukua ile nyama iliyo kuwa inadondoka toka usoni mwake, na kujaribu kuirudishia. Lakini jambo hili lilimpa maumivu mabaya zaidi.

Alitetemeka na kulia zaidi; kilio chake hakikukoma.Alikuwa amejaa minyoo, na alikuwepo joka kubwa lililo jivingirisha mkononi mwake. Lilikuwa ni nene sana na lenye miiba mwili mzima.Mwanamke huyu alikuwa na alama ya namba 666 iliyo chimbiwa mwilini mwake; namba ya mnyama iliyo tajwa katika kitabu cha Ufunuo. (Ufunuo 4:9-11)  Alikuwa pia amevaa bango la chuma kifuani mwake, iliyo tengenezwa na madini yasiyo fahamika, haikuwa inaweza kuteketezwa na moto.. Juu ya bango lile iliandikwa jambo fulani kwa lugha ngeni, lakini tuliweza kuielewa.Ilisomeka, "Nipo hapa kwa ajili ya uzinzi.

Yesu alipo mwona alimuuliza, "Elena, kwanini upo eneo hili?"  Wakati akijibu, Elena alikuwa akijipinda kutokana na maumivu yake. Alisema kuwa yupo pale kutokana na uzinzi.Alimwomba Bwana msamaha tena na tena

Baadaye tulianza kuona tukio la kifo chake.Alipo kufa alikuwa akifanya mapenzi na mmoja wa wapenzi wake, kwa sababu alifikiri kuwa mwanamke aliye kuwa anaishi naye alikuwa amesafiri.Hata hivyo mwanaume yule alirudi toka kazini na alimkuta akiwa kitandani pamoja na mwanaume mwingine,Mwanaume yule alikwenda jikoni na kuchukua kisu kikubwa na alimpiga nacho Elena nyuma  mgongoni mwake.Elena alikufa na alichukuliwa kuzimu, vilevile kama alivyo kufa; bado yupo uchi kabisa.
Kule kuzimu kila kitu kinaendelea, na bado anacho kile kisu mgongoni mwake, kikimsababishia maumivu makubwa.Wakati huu alikuwa tayari yupo kuzimu kwa miaka 7 na aliweza kukumbuka kila tukio la maisha yake na kifo chake.Aliweza hata kukumbuka wakati mtu fulani alipo mhubiria habari za Yesu; kwamba ndiye pekee anaye weza kumwokoa. Lakini sasa ilikuwa  tayari amechelewa sana na kwa kila aliyepo kuzimu.

Neno la Bwana linazungumza sana juu ya uzinzi, na lipo wazi sana. Uzinzi ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa.  1 Wakorintho 6:13 "Vyakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa vyakula;lakini Mungu atavitowesha vyote viwili, tumbo na vyakula. Lakini mwili sii kwa zinaa, bali ni kwa Bwana naye Bwana ni kwa mwili."  pia katika 1 Wakorintho 6:18 "FIkimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake mwewnyewe, lakini yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe."

Wakati Yesu alipo maliza kuzungumza naye, alifunikwa na blanketi kubwa la moto na hatukumwona tena. Lakini tulisika sauti ya mwili wake ukiungua na makelele yale ya kutisha, siwezi hata kuyaelezea vizuri kwa maneno.

Kwa jinsi tulivyo kuwa tunaendelea kutembea na Bwana, alituonyesha watu wote pale: waabudu sanamu, wale wanao tumia na kufanya uchawi,wasio safi,washerati, waongo, na  wafiraji. Tuliogopa sana, kitu pekee tulicho taka kufanya ni kuondoka pale.Lakini Yesu aliendelea kusema kuwa ni muhimu kuendelea kuangalia ili tuwaeleze wengine, ili waweze kuamini.

Tuliendelea na Yesu na tulimshika mkono wake kwa nguvu zaidi.Tlifika eneo ambalo lilinishangaza.Tulimwona kijana mdogo , wa miaka 23, akiwa ameinuliwa juu katikati ya moto. Hatukuweza kuona vizuri mateso yake ni yapi, lakini ile namba 666 ilikuwa imechimbiwa mwilini mwake. Alikuwa pia na bango lile kifuani mwake lililosomeka,"Nipo hapa kwa kuwa wa kawaida."  Alipo mwona Yesu, aliunyoosha mkono wake kwa Yesu akiomba rehema. Neno la Mungu linasema katika Mithali 14:12 "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti."

Tuliposoma lile bango lililo sema, "Nipo hapa kwa kuwa wa kawaida", Tulimuuliza Bwana"Bwana, inawezekanaje!?  Inawezekana mtu akaja eneo hili kwa sababu hii?"  Ndipo Yesu akamuuliza, "Andrea,kwa nini upo eneo hili?"  Alijibu, "Yesu, nilipo kuwepo duniani, nilifikiri kuwa , kuua, kuiba zilikuwa ndizo dhambi tuu, na ndiyo sababu sikuwahi kujaribu kuja karibu yako."  Katika Zaburi 9:17 inasema "Wadhalimu watarejea kuzimu, naam mataifa yote wanao msahau Mungu."

Andrea alifanya kosa kubwa kwa kugawa dhambi, kama wengi wa watu wanavyo fanya leo.Bibilia ipo wazi sana inaposema mshahara wa dhambi ni mauti , lakini karama ya Mungu ni uzima wa milele.(Warumi 6:23)  Zaidi, wakati Bibilia inapo zungumza habari za dhambi, haigawi dhambi, kwa sababu zote ni dhambi tuu. Andrea alikuwa na nafasi ya kumjua na kumpokea Yesu, lakini hakuichukua nafasi ile ambayo Mungu alikuwa amempa.  Labda alikuwa na nafasi elfu kumjua Bwana, lakini hakutaka kumjua na hii ndiyo sababu alikuwa pale. Baadaye blanketi kubwa la moto lilimfunika na hatukumwona tena.

Tuliendelea kutembea na Yesu. Kwa mbali tuliona kitu fulani kikidondoka kama maumbo fulani  hivi.Tulipo sogea karibu, tuliona kuwa ni watu wapya waliokuwa wakiingia kuzimu muda ule.Watu ambao ndio tuu wakekufa duniani kabla hawajampokea Yesu miyoyoni mwao, walikuwa wakiingia kuzimu.

Tulimwona kijana mmoja, mapepo mengi yalimkimbilia na kuanza kuuharibu mwili wake. Mara mwili wake ulianza kujawa na minyoo.  Alipiga kelele, "Hapana!  Ni nini hii? Acha!  Sitaki kuwa eneo hili!  Simamisha hii!  Hii lazima itakuwa ni ndoto!"  Hakujua kuwa amekufa, na ya kuwa amekufa bila ya Yesu moyoni mwake.Mapepo yalikuwa yakimchezea na kuuharibu mwili wake. Baadaye namba 666 ilitokea kwenye upaji wa uso wake, na bango la chuma kifuani mwake.Japo hatu kuweza kuona sababu ya yeye kuja kuzimu lakini tulijua kuwa hataweza tena kutoka mle. 

Bwana alituambia kuwa , mateso ya wote walio kuzimu yatakuwa makubwa zaidi siku ya hukumu.Kama wanateseka kwa jinsi ile ya kutisha na ya kuogopesha sasa, siwezi kufikiria jinsi gani watateseka siku ile ya hukumu.

Hatukumwona mtoto yeyote pale.Tuli waona vijana maelfu kwa maelfu; wanaume kwa wanawake wa mataifa mengi. Hata hivyo kuzimu hakuna utaifa au tabaka, wote wanakuja hapa kuteswa na kuhadhibiwa. Kuna kitu kimoja ambacho kila mtu pale alikihitaji, na hicho ni  nafasi tuu ya kutoka mle ndani, angalau kwa sekunde. Wanataka pia kupata angalau tone la maji kuuburudisha ndimi zao., kama vile habari ile ya tajiri kwenye Bibilia. (Luka 16:19)  Lakini hii hili haliwezekani tena kwao, walikwisha chagua ni wapi watakapo  kaa milele. Walichagua umilele bila ya Mungu.Mungu kamwe hampeleki mtu yeyote kuzimu, kila mmoja huenda kuzimu kutokana na matendo yake mwenyewe katika Wagalatia 6:7 "Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa  cho chote apandacho mtu, ndicho atakacho vuna."

Leo una nafasi kubwa ya kubadilisha mahali pako pa umilele.Yesu bado anapatikana sasa, na Bibilia inasema kuwa wakati tukiwa hai bado tuna matumaini.Leo una uhai, usikose nafasi hii, inaweza ikawa ni ya mwisho kwako.

Mungu akubariki.




No comments:

Post a Comment